Just Imagine,Ni zamu ya mzee wa project za kisiasaView attachment 3667785🙂
Kwa hiyo siku akifa hutoenda kumzika Kwa sababu ni ccm?Nina BROTHER DC na sijui hata anaendeleaje huko last conversation was 2024 kama sikosei
Kuna pole kweli na pole kebehi,mimi hata mama yangu na mkataa pale anapokuwa upande wa udwanziKwa hiyo siku akifa hutoenda kumzika Kwa sababu ni ccm?
Yaani umkane au ukosane na ndugu yako kisa Wana siasa ambao nao wapo wanatafuta madaraka ili familia zao zineemeke?
Lisu mwenyewe ambaye amefungwa jera katoa pole kwani yeye ni mjinga?
Ngoja tumuone Lissu basi kama atajidhalilisha hiviHujawahi kukaa jela alau usiku mmoja tu,, ongea utakavyo,,