Just Pray
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 2,142
- 4,779
Antony Lusekelo maarufu kama Mzee waupako afunguka mazito baadhi ya waumini wake kupoteza maisha kwenye maandamano ya October 29.
"Niwape pole sana watanzania hakuna mtu ambaye hajaguswa na jambo hili, mimi mwenyewe kuna wanaumini wangu walipigwa risasi Kimara"
"Niwape pole sana watanzania hakuna mtu ambaye hajaguswa na jambo hili, mimi mwenyewe kuna wanaumini wangu walipigwa risasi Kimara"