Mzee wa Upako Mch Antony Lusekelo

Mzee wa Upako Mch Antony Lusekelo

CHUAKACHARA

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2011
Posts
12,361
Reaction score
6,441
Jana wakati wa mahubiri, kama ilivyo ada alipewa hela na muumini. Akasema: Kila elfu kumi ni Lori. Meaning kuwa ukitoa elfu kumi ukampa utaombewa na malipo yako Mungu atakupa Lori.Jamani twendeni!
 
Hahahahaaaaa Hii nzuri sana na CCM lazima watamtumia Yaani Kila vote shilingi elfu kumi....
 
Jana wakati wa mahubiri, kama ilivyo ada alipewa hela na muumini. Akasema: Kila elfu kumi ni Lori. Meaning kuwa ukitoa elfu kumi ukampa utaombewa na malipo yako Mungu atakupa Lori.Jamani twendeni!

Nendeni wavivu wa kufikiri maana amesema pale hakuna Mungu wala Yesu ila miujiza yake tu ndio mnayo fuata. upako gani mnafuata enyi wavivu wa kufikiri! Mbona mnakuwa Kama Wagalatia? Ni nani aliyewaloga?
 
ivi ni nguvu gan anatumia yule mtu?
 
Uloi nga mâché68;9971596 said:
Nendeni wavivu wa kufikiri maana amesema pale hakuna Mungu wala Yesu ila miujiza yake tu ndio mnayo fuata. upako gani mnafuata enyi wavivu wa kufikiri! Mbona mnakuwa Kama Wagalatia? Ni nani aliyewaloga?

We kalaga bao, huoni waumini wanaonyesha funguo za semi-trailers!
 
Mimi nawaomba hawa manabii wawaponye watu ugonjwa wa ukimwi mbona hili sijawahi sikia
 
We kalaga bao, huoni waumini wanaonyesha funguo za semi-trailers!

Shida ya Watanzania wengi ni uvivu wa kufikiri na kupenda mafanikio kwa urahisi bila jasho. Trailers utazipata uko kijiweni bila kazi yoyote??????

Fanya kai ka bidii utapata mafanikio. Huyo Lusekelo anacheza na saikolojia za wavivu wa kufikiri tu ambao kwao hujikusanyia "msimbazi"a bure na kuishi kiulaini!!!!!!!!!!AMKENI MAZUZU MUDA UNAKWENDA NA HUYO KIBWETERE WENU anazidi kuneemeka!!!!!!
 
Uloi nga mâché68;9975865 said:
Shida ya
Watanzania wengi ni uvivu wa kufikiri na kupenda mafanikio kwa urahisi
bila jasho. Trailers utazipata uko kijiweni bila kazi yoyote??????

Fanya kai ka bidii utapata mafanikio. Huyo Lusekelo anacheza na
saikolojia za wavivu wa kufikiri tu ambao kwao hujikusanyia "msimbazi"a
bure na kuishi kiulaini!!!!!!!!!!AMKENI MAZUZU MUDA UNAKWENDA NA HUYO
KIBWETERE WENU anazidi kuneemeka!!!!!!
mimi nilishampaga wekundu10 (laki) nikajua labda nitakua bilionea matokeo sikuyaona nikaamua kujiondokea mdogomdogo taratiiibu bila kelele nikajua nimeliwa uvivu wakufikiri umeniponza
 
Jana wakati wa mahubiri, kama ilivyo ada alipewa hela na muumini. Akasema: Kila elfu kumi ni Lori. Meaning kuwa ukitoa elfu kumi ukampa utaombewa na malipo yako Mungu atakupa Lori.Jamani twendeni!

Mh!! YALE YALE HAILANGA HATAREE HAWA WATUU.
 
Wizi mwingine huu

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Jana wakati wa mahubiri, kama ilivyo ada alipewa hela na muumini. Akasema: Kila elfu kumi ni Lori. Meaning kuwa ukitoa elfu kumi ukampa utaombewa na malipo yako Mungu atakupa Lori.Jamani twendeni!

Yeye anamayo mangapi?!!
 
Back
Top Bottom