Mzee wa uda nae alikuwepo!!

Mzee wa uda nae alikuwepo!!

Status
Not open for further replies.

BASIASI

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2010
Posts
9,732
Reaction score
5,009
MZEE WA UDA NAE ALIKUWEPO KUSHEREHEKEA MILION 200 WALIZOGAWANA HII NCHI HII??
ik6.jpg
 
Matatizo ya kumkabidhi mswahili nchi ndio haya, ikulu imeshageuzwa kuwa ya futari kila siku. hizi pesa tunakamuliwa sisi kodi kwa ajili ya kufuturisha watu kila siku.

Mkuu hapo unaenda mbali...ukumbuke Rais ni binadamu kama wewe ana imani yake na wageni wake, na sherehe zake, kama misingi ya sheria inamruhusu kufanya hayo..kuna tatizo gani?
 
Matatizo ya kumkabidhi mswahili nchi ndio haya, ikulu imeshageuzwa kuwa ya futari kila siku. hizi pesa tunakamuliwa sisi kodi kwa ajili ya kufuturisha watu kila siku.

Mkuu Matola; heshima mbele. Hili kauli yako juu ya futari bora uiondoe kwani unawakwaza wengi, kama ni chuki dhidi ya ****** chagua lingine, mbona skandali ziko nyingi?
 
Huyu masaburi ni wa ajabu sana, ameacha mdahali dakika ya mwisho kwa kukimbilia kula futari wakati hata kufunga hajafunga, MLAFI wa hali ya juu na ndio maana hata haya mambo yanatokea, hivi na huko ikulu kuna maofisa wa namna gani wasioweza kujua mipango ya nchi wanakurupuka, huku wakiijua wazi watendaji wa JK ni wapumbavu na vilaza wakubwa. kwani kwa kuwa wanamjua masaburi mlafi wasimtoe kwenye list ya waalikwa maana tangazo lilishakua limetoka wiki nzima shit hawa watu tuwaondoke madarakani mapema iwezekanavyo. wananchi wa dar huyu masaburi hatufai kabisa ni wizi wizi wizi tangu wa kura mpaka leo hii kauza shirika letu tumpige vita kwa kila namna.
 
Matatizo ya kumkabidhi mswahili nchi ndio haya, ikulu imeshageuzwa kuwa ya futari kila siku. hizi pesa tunakamuliwa sisi kodi kwa ajili ya kufuturisha watu kila siku.
Nadhani wewe shida ya ni huko kufuturu tu...........Ingekuwa kitimoto na mbege usingekuwa na shida yeyote.....
Slaa anakuja itakuwa FULL kitimoto na Mbege kila kona!
 
Matatizo ya kumkabidhi mswahili nchi ndio haya, ikulu imeshageuzwa kuwa ya futari kila siku. hizi pesa tunakamuliwa sisi kodi kwa ajili ya kufuturisha watu kila siku.

mkuu, kufuturisha sio issue kwani hata mwalimu nyerere alikuwa anafuturisha raia kama kawaida, tatizo ni kwamba rais wa sasa hagongi point za ukweli zaidi ndio maana unaonekana kumchukia, ila kufuturisha sio issue, tatizo lake ni kwamba mambo kama hayo ndio yanamchukulia muda mwingi zaidi kuliko mambo ya msingi ya kitaifa.
 
waungwana tunapochangia, tusibeze imani za watu kwa kosa la mmoja. Mimi ni Mkristo, lakini naheshimu sana imani za wengine kwa kuwa ndio uungwana. Changia ubaya ama dosari za kikwete na sio kuingiza imani yake kuifanya iwe mbaya kama unavyodhani mhusika ni mbaya
 
Wewe lazima ni CHADEMA, maana mnauchukia sana Uislaam zaidi ya Kikwete na chuki yenu kubwa ni kwa dini yake na si kwa utendaji wake. Kama ni utendaji basi katenda kuliko Rais yoyote wa Tanzania na data hazifichi hilo. Tafuta jingine.[/QUOTE
]

KIKAZI KIMEPOTEA. UNAKOSOA NINI NA UNAFANYA NINI.. KWANINI NDUGU TUNATOFAUTIANA KWA DILI TULIZOLETEWA. TENA WALIKUJA NA KUTUNYONYA. Waafrika tuna matatizo makubwa sana, Tunakuwa maadau kwa sababu ya imani. TUNASHINDWA KUTUMIA AKILI KUFIKIRI KWA SABABU YA IMANI. tuanachagua viongozi kwa kutumia udini kuliko uwezo kwa kuongoza. KILA SIKU TUNALALAMIKA NA KULALAMIKIA DINI NYINGINE.. amkeni vijana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom