Mungu ni mwema ,mzee anajua maana ya Uhuru anataka akahakikishe Uhuru unapatikanaMzee Daniel Wambura askari mstaafu mwenye umri wa miaka 90 ameapishwa jana kuwa wakala wa CHADEMA kwenye Uchaguzi Mkuu, uko katika Jimbo la Tarime Mjini.
View attachment 1608071
Hii inaweza kuchukuliwa kipole pole lakini ikawa silaha pia.... huyu mzee, askar mstaafu, maana yake aliitumikia serikali lakini mwishowe akadhulumiwa, hivyo inaleta ujumbe kwamba serikali iliyopo haitendi haki.... na ili upate haki unatakiwa uitafute nje ya serikali iliyopo.Mzee Daniel Wambura askari mstaafu mwenye umri wa miaka 90 ameapishwa jana kuwa wakala wa CHADEMA kwenye Uchaguzi Mkuu, uko katika Jimbo la Tarime Mjini.
View attachment 1608071
Wazee kama hawa hatuna cha kuwalipa kwa ujasiri na moyo wao waliouonyesha. Asanteni sana.Hii inaweza kuchukuliwa kipole pole lakini ikawa silaha pia.... huyu mzee, askar mstaafu, maana yake aliitumikia serikali lakini mwishowe akadhulumiwa, hivyo inaleta ujumbe kwamba serikali iliyopo haitendi haki.... na ili upate haki unatakiwa uitafute nje ya serikali iliyopo.
PICHA INAYOTAKIWA KUONWA: Nyie wote mnaoitumikia serikali sasa kufa na kupona mkidhani inawasaidia mmemumia... chagueni mbadala mpate haki zenu maana waliopo madarakani kwa sasa wapo kwa maslahi yao na familia zao tu, huyo mzee ni muhanga na mfano kwa wengine hasa maaskari.
Tar 28/10 msifanye utani na maisha yenu ya baadae...... uvumilivu wenu utawaponza.
Umesoma hii Opposition complains of repression as Tanzania heads to the pollsMzee Daniel Wambura askari mstaafu mwenye umri wa miaka 90 ameapishwa jana kuwa wakala wa CHADEMA kwenye Uchaguzi Mkuu, uko katika Jimbo la Tarime Mjini.
View attachment 1608071
Mzee Daniel Wambura askari mstaafu mwenye umri wa miaka 90 ameapishwa jana kuwa wakala wa CHADEMA kwenye Uchaguzi Mkuu, uko katika Jimbo la Tarime Mjini.
View attachment 1608071
Mtakoma mwaka huu. Tunakaza kamba kila kona.Hata akisimamia Robert, hatuwezi kumpigia kura msaliti wa Nchi Lissu
AminaMungu amzishie kheri na amrefushie maisha!
Huyu ni moja ya wazee muhimu sana waliotambua umuhimu wa kuikomboa upya nchi yetu!
Nimeona hii kitu nimefurahi sana !Mzee Daniel Wambura askari mstaafu mwenye umri wa miaka 90 ameapishwa jana kuwa wakala wa CHADEMA kwenye Uchaguzi Mkuu, uko katika Jimbo la Tarime Mjini.
View attachment 1608071
umesoma hiiShukran