calculator
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 279
- 137
Jamani kuna udaku nimeskia eti kuna babu wa miaka 70 amefumaniwa na mpangaji wake kule Sekei, Arusha. Naskia eti hii stori imetoka kwenye gazeti la RISASI la wiki iliyopita. Naombeni mwenye taarifa au hata link ya hiyo habari.
Ahsanteni
Ahsanteni