Jamaa kaenda kwa mganga wa kienyeji akaomba afundishwe na yeye kutabiri. Mganga akamwambia kama unataka kujuwa kutabiri kesho uje na kikopo cha vaseline.
Siku ya pili jamaa katinga na kikopo chake cha vaseline, Mganga akamwambia avue nguo halafu ainame, jamaa akafanya kama alivyoamriwa,alivyoinama mganga akachukuwa ile vaseline akampaka jamaa matakoni, jamaa akastuka akamuuliza mganga wataka unifire nini, mganga akamjibu kama umelijuwa hilo ushajuwa KUTABIRI
Siku ya pili jamaa katinga na kikopo chake cha vaseline, Mganga akamwambia avue nguo halafu ainame, jamaa akafanya kama alivyoamriwa,alivyoinama mganga akachukuwa ile vaseline akampaka jamaa matakoni, jamaa akastuka akamuuliza mganga wataka unifire nini, mganga akamjibu kama umelijuwa hilo ushajuwa KUTABIRI