Che Kalizozele
JF-Expert Member
- Jul 20, 2008
- 777
- 49
Mzee mmoja wa Kichaga ambaye alikuwa mkali
sana kwa binti yake anaamka asubuhi na kutaarifiwa
kwamba binti yake ana mimba!
Mzee wa Kichaga:
"Aisee we Manka,
nakwenda kazini,
nikirudi leo ni lazima uniambie ni nani
kafanya uchafu huu"
Anafoka na kuondoka kuelekea ofisini.
Mchana anapigiwa simu na Mama Manka na
kuambiwa kwamba yule jamaa aliyempa mimba bintiye yupo
nyumbani anamsubiri kwa mazungumzo!
Mzee anachukua panga lake na kulinoa
kabisaaa kwa ajili ya kwenda kumteketeza mwanaharamu
huyo.
Kufika nyumbani mambo yanakuwa hivi:
Kijana aliyempa mimba binti:
Mmmh!!
Mzee ni kweli mi ndiye nimempa mimba binti yako, na kusema
kweli sina mpango wa kumuoa.
Lakini akizaa mtoto wa kiume nitakupa US$ 1 million na ghorofa Kariakoo
kisha nachukua mtoto.
Akizaa mtoto wa kike nakupa US$ 1million na duka Sinza!
Lakini je mzee, ikitokea bahati mbaya mimba hii ikaharibika itakuwaje?
Mzee wa Kichaga:
Aisee babaangu itabidi tu umpe mimba nyingine, hakuna jinsi!
sana kwa binti yake anaamka asubuhi na kutaarifiwa
kwamba binti yake ana mimba!
Mzee wa Kichaga:
"Aisee we Manka,
nakwenda kazini,
nikirudi leo ni lazima uniambie ni nani
kafanya uchafu huu"
Anafoka na kuondoka kuelekea ofisini.
Mchana anapigiwa simu na Mama Manka na
kuambiwa kwamba yule jamaa aliyempa mimba bintiye yupo
nyumbani anamsubiri kwa mazungumzo!
Mzee anachukua panga lake na kulinoa
kabisaaa kwa ajili ya kwenda kumteketeza mwanaharamu
huyo.
Kufika nyumbani mambo yanakuwa hivi:
Kijana aliyempa mimba binti:
Mmmh!!
Mzee ni kweli mi ndiye nimempa mimba binti yako, na kusema
kweli sina mpango wa kumuoa.
Lakini akizaa mtoto wa kiume nitakupa US$ 1 million na ghorofa Kariakoo
kisha nachukua mtoto.
Akizaa mtoto wa kike nakupa US$ 1million na duka Sinza!
Lakini je mzee, ikitokea bahati mbaya mimba hii ikaharibika itakuwaje?
Mzee wa Kichaga:
Aisee babaangu itabidi tu umpe mimba nyingine, hakuna jinsi!