Rich Pol
JF-Expert Member
- Oct 11, 2013
- 7,864
- 5,672
Acheni kujidanganya, makao makuu yawananchi pale Dodoma? Jengo la Upanga? Tena jipya kabisa, umoja wa vijana wa CCM? Huo ni mfano tu hiyo nyumba mnayoiita makao makuu hata mkimpa Mnyika aishi pale hawezi, ndiyo maana Lowasa amekataa kukanyaga pale.tatizo hata hilo Banda CCM hamna.Majengo yote ya CCM mlikwapua toka serikalini.