Sophist
Platinum Member
- Mar 26, 2009
- 4,484
- 3,400
Sera ya Chadema ilichotwa kutoka NCCR Mageuzi. Mzee mtei alifanya copy and paste tu.Tatizo la makani na mtei hawakuwa typical politicians bali walikuwa wataalamu..technocrats ...,ndio maana walifanikiwa kuandika sera nzuri sana ,lakini wao wawili walikuwa na ugumu sana wa kujieleza jukwaani wakaeleweka ....,unajua kuna watu aina hiyo wenye akili sana lakini hawawezi kujieleza
Mfano Makani pale SHINYANGA alijitajidi sana pamoja na kuwa walikuwa hawamuelewi