Pole sana wafiwa.
Nakumbuka Mtoto wake mmoja tulikuwa kombania moja naye pale JKT alifariki kwa kuungua kwa moto.
pole sana wafiwa.
Nakumbuka mtoto wake mmoja tulikuwa kombania moja naye pale jkt alifariki kwa kuungua kwa moto.
operesheni kambarage?
Ahhh nani atasahau enzi zile za STESHENI na ile CHAI MAHARAGE ILIYOKUWA IKIENDA masaki IKIITWA kabibiiii?
maana hata akina Alfa na CHICAGO BULLS walikuwa hawaoni ndani na akina NIKAS na ule mbasi wao ndio kabisaaa
KABIBIII ilikuwa inapita traffic za salenda briji kisa? Gari la TRYPHON MAJI!
... kuna mwanae mmoja alikuwa anasoma Jitegemee pale kama sikosei. Alikuwavurugu sana dogo yule.
Mungu awafariji wafiwa.
Jamani marehemu hata hajazikwa, it is disrespectful to speak the truth about the dead.
Mungu alitoa, Mungu ametwaa. Mungu kwa nini unatuchezea chezea kutoa na kuchukua? Lakini kazi yako haina makosa. Familia, ndugu na marafiki, poleni sana.
Amina.
Jiandae your day is there...!If he cared about the family your good Allah would not have allowed him to die in the first place, let alone need you to beg him or remind him about the difficulty the family is going thru. He would know, he's God the merciful!
Duh...!Jamani marehemu hata hajazikwa, it is disrespectful to speak the truth about the dead.
Mungu alitoa, Mungu ametwaa. Mungu kwa nini unatuchezea chezea kutoa na kuchukua? Lakini kazi yako haina makosa. Familia, ndugu na marafiki, poleni sana.
Amina.
Poleni wafiwa!Wenye picha ya Marehemu mzee Maji tunaomba muiweke tumwone maana hili lilikuwa jina maarufu miaka ya tisini.
Jamani marehemu hata hajazikwa, it is disrespectful to speak the truth about the dead.
=QUOTE]
????!!!!!