Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,649
- 20,988
Ni wakati sasa tena muafaka mzee wetu Frederick Sumaye akarudi nyumbani bhana, Ni hayo tu.
NB: Upo uwezekano mkubwa sana kwa CCM kuzoa viti vyote vya ubunge 2020, na upinzani kuambulia zero chairs, time shall tell. Rais wetu chapa kazi wananchi wanaona juhudi zako, upinzani hakuna kupata kiti cha ubunge hata kimoja 2020.
NB: Upo uwezekano mkubwa sana kwa CCM kuzoa viti vyote vya ubunge 2020, na upinzani kuambulia zero chairs, time shall tell. Rais wetu chapa kazi wananchi wanaona juhudi zako, upinzani hakuna kupata kiti cha ubunge hata kimoja 2020.