Mzee Sumaye azidi kuteseka. Je, atarudi CCM?

Mzee Sumaye azidi kuteseka. Je, atarudi CCM?

Sumaye ana uchaguzi mdogo sana kwa siasa za husuda na uzandiki. Baada ya mzee EL kula matapishi, Wapinzani hawatakuwa na imani tena kuwapa nafasi wahamiaji wa dharula. Lazima arudi ccm japo kinafiki kwa salama yake na familia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Mmeamkaje? Kwangu mambo siyo mazuri. Mtakumbuka baada tu ya kuingia upinzani serikali ilitishia muda mrefu kuchukua mashamba yangu bila sababu za msingi, hata wakati wa kampeni baadhi ya viongoz wa ccm walitamka hadharani kuwa huyu dawa yake ni kumnyang'anya mashamba yake. Shamba la mabwepande ekari 33 wameagiza wiki hii halmashauri iligawe kwa wavamizi na wengineo.

Jana nimepokea barua kuwa shamba la mvomero ekari 326 limetwaliwa na rais na sitakiwa kukanyaga hapo. Shamba hilo lina majengo, mazao, mashine mbali mbali, visima virefu vya maji, umeme na mifugo mchanganyiko zaidi ya 200. Kisingizio shamba halijaendelezwa! Shamba lenye vitu vyote hivyo halijaendelezwa??

Mbaya zaidi katika kupinga dhamira hizo nilifungua kesi mahakama kuu kwa mashamba yote na mahakama zimeweka zuio la kutokuingiliwa mashamba hayo mpk mashauri ya msingi yatakapoamuliwa.

Lakini wameshaamua kwa hiyo mahakama hazina kazi. Utawala huu haufuati sheria ni udikteta mtupu! Kuna mwana ccm moja alisema "tutamfilisi mpk atakapotembelea ndala ndo atakumbuka kurudi ccm."

Hilo litawezekana kama Mungu huyu ni wa ccm. Ccm sirudi pamoja kuwa najua nitateseka na familia yangu! Kisasi hiki mimi sitakiweza namwachia Mungu ndiye atakayetufuta machozi mimi na familia yangu."

Fredrick Tluway Sumaye.
Waziri Mkuu Mstaafu
August 12, 2017

Note: Jana niligusia Kuhusu hujuma, dhuluma na madhila mbali mbali wanayopitia Viongozi na wanachama wa Upinzani. Nilieleza namna gani Viongozi wetu akiwamo Freeman Mbowe wanavyoteswa kwa namna mbali mbali kuanzia kwenye kuharibiwa au kunyang'anywa mali zao na hata kuwekwa gerezani.

Nilisema Unapoamua kuwa mpinzani Tanzania ni lazima kwanza ujikane nafsi yako kisha ujitwishe msalaba wako. Mbowe angekuwa ana roho ya ubinafsi ya kuangalia maslahi yake na familia yake leo angekuwa CCM.

Hebu leo TUJIKUMBUSHE kidogo na kutafakari DHULUMA ambazo amefanyiwa Waziri Mkuu Mstaafu Fredrick Sumaye tangu alipoondoka CCM na kujiunga na CHADEMA.

Jipeni moyo ulimwenguni mnayo dhiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mpaka leo hujajua Mbowe ni mbinafsi..khaaaaaa....uliza kwanza demokrasia ndani ya chama ipo au haipo..ndani ya chama marufuku kuhoji matumizi yoyote..marufuku kumhoji mwenyekiti na mwenyekiti ni wa milele...hakuna kupambana nae kwenye kura..uliza chacha wangwe, Zitto, mwigamba, mkumbo..wakina Waitara, Mollel..na wengi wengi
Umesahau mabilioni aliyoyasafirisha Mbowee kwenda ughaibuni wakati mzee mamvi alivyotua tu chadema...unajua alilipwa kiasi gani...ile ilikuwa biashara mzee sio lelemama..inahitaji moyo mgumu kumpokea unayemwita fisadi..unaweza ua chama..na hataa hivyo kinaelekea kufa..
Lakini pia rejea ripoti ya CAG. Mabilioni mangapi hayajulikani yametumikaje ndani ya chama..CAG amegundua..unadhani nani kiongozi wa kuyatafuna kama sio mwenyekiti wako..hahahahahah mpaka leo hamna majibu..mmepiga kimyaaaa...mnasikilizia hisia za wananchi...shenzzz...! Mnatafuna ruzuku kama hamna akili nzuri...huu sio ubinafsi wa kupindukia...walau hayo mabilioni basi yangetumika kujengea ofisi lakini wapii..kwanza tumbo...huo sio ubinafsi...
We nini bana unataka kuporomoke maneno hapa mtaumbuka...hamjui mnalolisema...
 
Utawala wa Kikwete ulikuwa wa Mpito tu watu wakajisahau wakadhan ile Ni Hali ya kudumu

Wakati wa Jk ilikuwa Kawaida kina Sabodo kwenda hadharan kutangaza kusaidia Chadema Na akitoka hapo Hakuna anaemuuliza wala kumpiga Buti

Akina Hans pope walijitokeza hadharan kusaidia Wapinzani na kuna Wafanyabiashara wakubwa tu wa Kihindi walijitokeza kusadia Chadema wakati wa awamu ya nne lakin Maisha yaliendelea bila usumbufu

Mbowe hakuguswa kabisa Kwenye Vitega Uchumi vyake Na wakati Mwingine alikuwa anapewa Tenda Za Serikal bila ya Shida

Mzee Hashim Rungwe anaweza kueleza vyema yaliyomkuta Kwenye Biashara zake Wakat wa Mzee Mkapa
Hayo mambo yakusumbua wapinzani wako kisiasa ni ushamba tu na hayawezi kutusaidia chochote kama nchi.sisi wote ni wapitaji tu na uongozi ni dhamana ya muda sasa kwanini umsumbue mpinzani wako.kama uwezo ni mdogo ni mdogo tu hata iweje.
 
Hivi mpaka leo hujajua Mbowe ni mbinafsi..khaaaaaa....uliza kwanza demokrasia ndani ya chama ipo au haipo..ndani ya chama marufuku kuhoji matumizi yoyote..marufuku kumhoji mwenyekiti na mwenyekiti ni wa milele...hakuna kupambana nae kwenye kura..uliza chacha wangwe, Zitto, mwigamba, mkumbo..wakina Waitara, Mollel..na wengi wengi
Umesahau mabilioni aliyoyasafirisha Mbowee kwenda ughaibuni wakati mzee mamvi alivyotua tu chadema...unajua alilipwa kiasi gani...ile ilikuwa biashara mzee sio lelemama..inahitaji moyo mgumu kumpokea unayemwita fisadi..unaweza ua chama..na hataa hivyo kinaelekea kufa..
Lakini pia rejea ripoti ya CAG. Mabilioni mangapi hayajulikani yametumikaje ndani ya chama..CAG amegundua..unadhani nani kiongozi wa kuyatafuna kama sio mwenyekiti wako..hahahahahah mpaka leo hamna majibu..mmepiga kimyaaaa...mnasikilizia hisia za wananchi...shenzzz...! Mnatafuna ruzuku kama hamna akili nzuri...huu sio ubinafsi wa kupindukia...walau hayo mabilioni basi yangetumika kujengea ofisi lakini wapii..kwanza tumbo...huo sio ubinafsi...
We nini bana unataka kuporomoke maneno hapa mtaumbuka...hamjui mnalolisema...
Hizo shida zakuunga unga unazozileta hapa sidhani kama ni sehemu yake maana ukisema tuanze kufukua uozo ulioko uko kwenye chama chenu mtakimbilia kutumia nguvu kwavile wale jamaa wako upande wenu kwaiyo hebu ficha kidogo uozo wako.
 
"Mmeamkaje? Kwangu mambo siyo mazuri. Mtakumbuka baada tu ya kuingia upinzani serikali ilitishia muda mrefu kuchukua mashamba yangu bila sababu za msingi, hata wakati wa kampeni baadhi ya viongoz wa ccm walitamka hadharani kuwa huyu dawa yake ni kumnyang'anya mashamba yake. Shamba la mabwepande ekari 33 wameagiza wiki hii halmashauri iligawe kwa wavamizi na wengineo.

Jana nimepokea barua kuwa shamba la mvomero ekari 326 limetwaliwa na rais na sitakiwa kukanyaga hapo. Shamba hilo lina majengo, mazao, mashine mbali mbali, visima virefu vya maji, umeme na mifugo mchanganyiko zaidi ya 200. Kisingizio shamba halijaendelezwa! Shamba lenye vitu vyote hivyo halijaendelezwa??

Mbaya zaidi katika kupinga dhamira hizo nilifungua kesi mahakama kuu kwa mashamba yote na mahakama zimeweka zuio la kutokuingiliwa mashamba hayo mpk mashauri ya msingi yatakapoamuliwa.

Lakini wameshaamua kwa hiyo mahakama hazina kazi. Utawala huu haufuati sheria ni udikteta mtupu! Kuna mwana ccm moja alisema "tutamfilisi mpk atakapotembelea ndala ndo atakumbuka kurudi ccm."

Hilo litawezekana kama Mungu huyu ni wa ccm. Ccm sirudi pamoja kuwa najua nitateseka na familia yangu! Kisasi hiki mimi sitakiweza namwachia Mungu ndiye atakayetufuta machozi mimi na familia yangu."

Fredrick Tluway Sumaye.
Waziri Mkuu Mstaafu
August 12, 2017

Note: Jana niligusia Kuhusu hujuma, dhuluma na madhila mbali mbali wanayopitia Viongozi na wanachama wa Upinzani. Nilieleza namna gani Viongozi wetu akiwamo Freeman Mbowe wanavyoteswa kwa namna mbali mbali kuanzia kwenye kuharibiwa au kunyang'anywa mali zao na hata kuwekwa gerezani.

Nilisema Unapoamua kuwa mpinzani Tanzania ni lazima kwanza ujikane nafsi yako kisha ujitwishe msalaba wako. Mbowe angekuwa ana roho ya ubinafsi ya kuangalia maslahi yake na familia yake leo angekuwa CCM.

Hebu leo TUJIKUMBUSHE kidogo na kutafakari DHULUMA ambazo amefanyiwa Waziri Mkuu Mstaafu Fredrick Sumaye tangu alipoondoka CCM na kujiunga na CHADEMA.

Jipeni moyo ulimwenguni mnayo dhiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha waendelee kuumia kama walivyowaumiza wengine!! Malipo ni hapahapa duniani. Acheni wapate Mungu atende hamjui maovu waliofanya Sumaye na Mbowe? Au mnajifanya kusahau naamini baada ya muda watajifunza!!
 
Utawala wa Kikwete ulikuwa wa Mpito tu watu wakajisahau wakadhan ile Ni Hali ya kudumu

Wakati wa Jk ilikuwa Kawaida kina Sabodo kwenda hadharan kutangaza kusaidia Chadema Na akitoka hapo Hakuna anaemuuliza wala kumpiga Buti

Akina Hans pope walijitokeza hadharan kusaidia Wapinzani na kuna Wafanyabiashara wakubwa tu wa Kihindi walijitokeza kusadia Chadema wakati wa awamu ya nne lakin Maisha yaliendelea bila usumbufu

Mbowe hakuguswa kabisa Kwenye Vitega Uchumi vyake Na wakati Mwingine alikuwa anapewa Tenda Za Serikal bila ya Shida

Mzee Hashim Rungwe anaweza kueleza vyema yaliyomkuta Kwenye Biashara zake Wakat wa Mzee Mkapa
Wote hao uliowataja ni wezi isipokuwa Sabodo. Hivyo wanakula matunda ya wizi wao.
 
Hujaeleweka
Utawala wa Kikwete ulikuwa wa Mpito tu watu wakajisahau wakadhan ile Ni Hali ya kudumu

Wakati wa Jk ilikuwa Kawaida kina Sabodo kwenda hadharan kutangaza kusaidia Chadema Na akitoka hapo Hakuna anaemuuliza wala kumpiga Buti

Akina Hans pope walijitokeza hadharan kusaidia Wapinzani na kuna Wafanyabiashara wakubwa tu wa Kihindi walijitokeza kusadia Chadema wakati wa awamu ya nne lakin Maisha yaliendelea bila usumbufu

Mbowe hakuguswa kabisa Kwenye Vitega Uchumi vyake Na wakati Mwingine alikuwa anapewa Tenda Za Serikal bila ya Shida

Mzee Hashim Rungwe anaweza kueleza vyema yaliyomkuta Kwenye Biashara zake Wakat wa Mzee Mkapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utawala wa Kikwete ulikuwa wa Mpito tu watu wakajisahau wakadhan ile Ni Hali ya kudumu

Wakati wa Jk ilikuwa Kawaida kina Sabodo kwenda hadharan kutangaza kusaidia Chadema Na akitoka hapo Hakuna anaemuuliza wala kumpiga Buti

Akina Hans pope walijitokeza hadharan kusaidia Wapinzani na kuna Wafanyabiashara wakubwa tu wa Kihindi walijitokeza kusadia Chadema wakati wa awamu ya nne lakin Maisha yaliendelea bila usumbufu

Mbowe hakuguswa kabisa Kwenye Vitega Uchumi vyake Na wakati Mwingine alikuwa anapewa Tenda Za Serikal bila ya Shida

Mzee Hashim Rungwe anaweza kueleza vyema yaliyomkuta Kwenye Biashara zake Wakat wa Mzee Mkapa

Kwahiyo unasema huo utawala wa JK ulikuwa wa mpito, ila huu ni wa kudumu!? Huyo Sumaye leo analialia, lakini alipokuwa ccm haya yanayofanyika alikuwa anaona sawa. Sasa karma imemrudia analialia. Jiwe bana hao walevi wenzako wa madaraka, lakini na ww jipange maana huko mbeleni utafurahi.
 
Kama anataka kurudi arudi tu sio kuwaadaa watu.

Wanasiasa waongo sana. Na uyu pia shetani kawa malaika,angesema hayo mashamba na vitu vingine alivyovitaja na asivyovitaja alivipata kwa njia ipi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi mpaka leo hujajua Mbowe ni mbinafsi..khaaaaaa....uliza kwanza demokrasia ndani ya chama ipo au haipo..ndani ya chama marufuku kuhoji matumizi yoyote..marufuku kumhoji mwenyekiti na mwenyekiti ni wa milele...hakuna kupambana nae kwenye kura..uliza chacha wangwe, Zitto, mwigamba, mkumbo..wakina Waitara, Mollel..na wengi wengi
Umesahau mabilioni aliyoyasafirisha Mbowee kwenda ughaibuni wakati mzee mamvi alivyotua tu chadema...unajua alilipwa kiasi gani...ile ilikuwa biashara mzee sio lelemama..inahitaji moyo mgumu kumpokea unayemwita fisadi..unaweza ua chama..na hataa hivyo kinaelekea kufa..
Lakini pia rejea ripoti ya CAG. Mabilioni mangapi hayajulikani yametumikaje ndani ya chama..CAG amegundua..unadhani nani kiongozi wa kuyatafuna kama sio mwenyekiti wako..hahahahahah mpaka leo hamna majibu..mmepiga kimyaaaa...mnasikilizia hisia za wananchi...shenzzz...! Mnatafuna ruzuku kama hamna akili nzuri...huu sio ubinafsi wa kupindukia...walau hayo mabilioni basi yangetumika kujengea ofisi lakini wapii..kwanza tumbo...huo sio ubinafsi...
We nini bana unataka kuporomoke maneno hapa mtaumbuka...hamjui mnalolisema...
Rubbish. 1.5 Trillion ziko wapi? Uwanja wa ndege Chattle unaojengwa kwa Tsh. 90 Billion, umeidhinishwa na nani??? Mnafiki mkubwa wewe. Shut up.
 
Back
Top Bottom