Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 61,023
- 36,879
Hili swali nimekuwa nikijiuliza
iweje hawa viongozi wa wasanii wanasubiri mtu afe wanaanza kujianika
na garama nyingi tu huku wakipita nyumba kwanyumba kuomba michango
kwa nini wasiwasaidie watu kama mze small wakiwa wanaumwa
je ataagwa na yeye leaders??mmh nasubiri br aje kusema akak mzee steve
iweje hawa viongozi wa wasanii wanasubiri mtu afe wanaanza kujianika
na garama nyingi tu huku wakipita nyumba kwanyumba kuomba michango
kwa nini wasiwasaidie watu kama mze small wakiwa wanaumwa
je ataagwa na yeye leaders??mmh nasubiri br aje kusema akak mzee steve