Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,790
- 41,170
Lisu kapewa hiyo nafasi kama sehemu ya matibabu yake na sio kwakua ana sifa za kugombea Urais na kushinda.
Chadema waliona wakimpa nafasi agombee anaweza pata nafuu kidogo, na kweli bwana ukimuona lisu kwa sasa ana recover.
Tupo tunauguza mgonjwa na sio mpinzani halisi kwa nafasi ya Urais.
Chadema waliona wakimpa nafasi agombee anaweza pata nafuu kidogo, na kweli bwana ukimuona lisu kwa sasa ana recover.
Tupo tunauguza mgonjwa na sio mpinzani halisi kwa nafasi ya Urais.