Kwahiyo Lumumba wamekupa shs ngapi kwaajili ya huu uzi?Nimemuuliza kasema huko Njombe ni utamaduni wa kuonyesha unyenyekevu. Kanipa kahawa ya sh 300 bure.
Ukombozi ambao maccm mmeuweka mfukoniKweli hii Chadema inaweza kuleta ukombozi?
Umaskini?. Mbona chama chako wote maskini tajiri Mbowe tu. Mnampa mishahara yenu, mnaona Sawa tu. Ndio maana mnaitwa manyumbu wa Ufipa.Huyo Mzee hata kanzu yake imejaa viraka kwa umaskini aliyoletewa na CCM.
Chadema jikomboeni kwanza kutoka kwenye mifuko ya mwenyekiti.Ukombozi ambao maccm mmeuweka mfukoni
Bora mifuko ya mwenyekit kuliko ukandamizaji wa ccmChadema jikomboeni kwanza kutoka kwenye mifuko ya mwenyekiti.
Idugunde, nina tuswali tuchache tu kwa Mzee Shomari...Mzee Shomari: Lissu ulikuja kugombea urais, je hukujua CCM ina intelijensia ya hali ya juu?
OffpointIdugunde, nina tuswali tuchache tu kwa Mzee Shomari...
Idugunde, maswali ni mengi ila kwa leo nitaishia hapo, asante na nasubiri majibu.
- Kwa nini hiyo intelijensia ya hali ya juu haijaweza kutumika kuliangamiza genge la kihalifu la wasiojulikana?
- Kwa nini hiyo intelijensia ya hali ya juu haijaweza kutumiwa na serikali ya CCM kutujuza aliko Ben Saanane?
- Kwa nini hiyo intelijensia ya hali ya juu haijasaidia serikali ya CCM kutupa wananchi majibu ya aliko Azory Gwanda?
- Kwa nini hiyo intelijensia ya hali ya juu haitumiki kuwasambaratisha wanaoteka, kuwatesa na kuwapoteza raia?
- Kwa nini hiyo intelijensia ya hali ya juu haijaiwezesha serikali ya CCM kuwakamata waliommiminia risasi MH. Lissu?
Huu uharo ndio nondo? Kamsaidie bwana wako kupiga Magoti tuKama hayawezi mbona anashusha nondo za ukweli.
Ukombozi tena,mbona tulishamtoa mkoloni huko nyuma.CDM ndio mkombozi? Haya tusubiri hiyo octoberMzee Shomari maskini wewe endelea kutafuna hayo maharagwe ya ccm ingawa hayajawiva vizuri sababu ya ukosefu wa nishati ya kuyapika.
Lisu anapambana ili kuwakomboa wazee walio kwenye utumwa wa kifikra kama wewe,tuombee kwa Mungu ukombozi unakuja si muda mrefu