Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,998
- 103,385
Msajili wa vyama chukua hatua, vinginevyo jiuzulu.
Msajili wa chama hachukui hatua yoyote, yeye huagizwa amchukulie nani hatua na waliompa hicho cheo.
Msajili wa vyama chukua hatua, vinginevyo jiuzulu.
Msajili wa chama hachukui hatua yoyote, yeye huagizwa amchukulie nani hatua na waliompa hicho cheo.
Ina maana hayuko huru?
Anaweza kuchunguzwa ubongo wake kwanza ili tujiridhishe kama yuko sawa kiakili , umri umemtupa sana .Nimemsikiliza Waziri Mkuu Mstaafu ndugu Kayanza Peter Pinda wakati akitoa salamu kwenye hafla ya kupokea ndege yetu.
Amesema Kanda ya Ziwa ina idadi kubwa sana ya watu ambao ni kama asilimia 20 hivi ya watu wote wa Tanzania.
Akatoa wito wakimchagua Rais kwa wingi wao kwingineko itakuwa ni kujazia jazia tu.
Wajuzi wa mambo sijui kama kampeni zimeruhusiwa kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa mwakani.
Au Mzee Pinda kajisahau kidogo. Je sheria za nchi zinaruhusu kampeni kuanza mapema kiasi hiki?
Sent using Jamii Forums mobile app