Ni mwaka 2014 for God's sake iyo Tanganyika ya last century itamkomboaje mwananchi wa kyela anaesombwa na mafuriko leo hii na wengineo wengi.
Tanganyika ipo si lazima iwakilishwe na serikali,
Mbili zatosha, tatu ni karaha tu kwa wananchi kama sisi, kama nyie mnaona ulaji kwenye serikali ya tatu, mkae mkijua wengi tutazidi teseka kwa magharama yasiyokuwa na lazima,
Dai vitu vingine kwa katiba si serikali tatu, it is nonsense to men with common sense.
Kama ipo itamkwe hadharani kikatiba, ionekane! Ujanja ujanja ndo watu wanahoji hilo, kwa nini isiwe straight?