Hivi huyu mzee anatoa taswira gani kwa watanzania?
Mungai alikuwa serikalini toka 'enzi za mwalimu' , hivi bado hajapata uzoefu tu wa kuomba
kura bila kutoa rushwa kwa wapigakura? Kwa uzee wake na CV yake, inatia aibu kuwekwa rumande! :embarrassed1uh!!!!!!!! I cant get ze pikcha! Enewei Sijui nyie wanaJFwenzangu mnaonaje, maana kwa dalili hizi inaonesha mwaka huu kutakuwa na mabadiliko makubwa nchini kwenye uchaguzi ujao. CCM inatia aibu jinsi hawa vingunge wanavyochemsha na kudakwa na TAKUKURU.
Dalili njema kwa SLAA!
Mungai alikuwa serikalini toka 'enzi za mwalimu' , hivi bado hajapata uzoefu tu wa kuomba
kura bila kutoa rushwa kwa wapigakura? Kwa uzee wake na CV yake, inatia aibu kuwekwa rumande! :embarrassed1uh!!!!!!!! I cant get ze pikcha! Enewei Sijui nyie wanaJFwenzangu mnaonaje, maana kwa dalili hizi inaonesha mwaka huu kutakuwa na mabadiliko makubwa nchini kwenye uchaguzi ujao. CCM inatia aibu jinsi hawa vingunge wanavyochemsha na kudakwa na TAKUKURU.
Dalili njema kwa SLAA!