Kilemakyaaro
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 5,050
- 5,078
Nimepata taarifa Mzee wetu Mwinyi ameandika kitabu cha Maisha yake na hiv karibuni kitazinduliwa. Binafsi nnatamani kusoma na kujua jinsi huyu mzee aliweza kufufua uchumi wa Tanzania uliokufa, akawezesha raia kuvaa nguo, kupata sabuni, magari kuingia, television n.k
Wajuzi wanasema uongozi wa huyu mzee ndio Tanzania tunayoiona leo, achana na hawa wapiga tantarira
Wajuzi wanasema uongozi wa huyu mzee ndio Tanzania tunayoiona leo, achana na hawa wapiga tantarira