Mwanakijiji Yupo sawa, japo sina uhakika..Kwasababu -bado sina muda mwingi wa kusoma Post zake zote kwa uzuri..Ila nina amini akili yangu ! katika kutoa maamuzi ya nini niseme au nini nisiseme labda mpaka baadae..
Hapa nina mzungumzia Mwanachama mwenzetu wa JF -Mzee-Mwanakijiji
Nina kubaliana nae wakati mwingine na nina mchokoza- kwa Kumfanyia fujo...Laini bila yeye nisinge pata muda mzuri wa kufikiria Hili neno lake jipya-ana sema-'Ideological-battle' ??sorry !! Ideology-battle!!Kitu kama hicho..
Sasa hii battle ni kati ya wana JF au? Battle ya nani na nani?
hebu Nifananulieni vizuri!!
Mwanakijiji Yupo sawa, japo sina uhakika..Kwasababu -bado sina muda mwingi wa kusoma Post zake zote kwa uzuri..Ila nina amini akili yangu ! katika kutoa maamuzi ya nini niseme au nini nisiseme labda mpaka baadae..
Hapa nina mzungumzia Mwanachama mwenzetu wa JF -Mzee-Mwanakijiji
Nina kubaliana nae wakati mwingine na nina mchokoza- kwa Kumfanyia fujo...Laini bila yeye nisinge pata muda mzuri wa kufikiria Hili neno lake jipya-ana sema-'Ideological-battle' ??sorry !! Ideology-battle!!Kitu kama hicho..
Sasa hii battle ni kati ya wana JF au? Battle ya nani na nani?
hebu Nifananulieni vizuri!!
Mwanakijiji Yupo sawa, japo sina uhakika..Kwasababu -bado sina muda mwingi wa kusoma Post zake zote kwa uzuri..Ila nina amini akili yangu ! katika kutoa maamuzi ya nini niseme au nini nisiseme labda mpaka baadae..
Hapa nina mzungumzia Mwanachama mwenzetu wa JF -Mzee-Mwanakijiji
Nina kubaliana nae wakati mwingine na nina mchokoza- kwa Kumfanyia fujo...Laini bila yeye nisinge pata muda mzuri wa kufikiria Hili neno lake jipya-ana sema-'Ideological-battle' ??sorry !! Ideology-battle!!Kitu kama hicho..
Sasa hii battle ni kati ya wana JF au? Battle ya nani na nani?
hebu Nifananulieni vizuri!!
Whether ni ideological battle, au battle of ideologies, au clash of ideologies, cha muhimu ni kwamba kuna kitu kinafukuta hapa Tanzania. Inawezekana kuwa si sahihi kusema ni battle of ideologies. Kwa sababu kimsingi watanzania walio wengi wana ideology moja au zinazofanana (kama ukizungumzia kisiasa). Lakini humo ndani kuna watu wanaojiona kuwa wao wanastahili kunufaika zaidi na kuwaona wengine kama ni wajinga, na wengine wanaona kuwa si sahihi kupuuzwa na wanahitaji kuheshimiwa na wanataka kunufaika na raslimali zilizopo nyumbani. Hapa kweli ni kama unaona kuna kitu kama Clash of ideologies au clash of thoughts whatever you wanna call it. Nadhani wataalam wa lugha wanaweza kutafuta phrase appropriate.
Hata hilo umeshindwa kulielewa? Basi yapo mashaka juu ya uelewa wako. Au tuseme Gigo = Tambwe + Akwilombe + Msabaha + ??
Act.........