Gigo
JF-Expert Member
- Aug 6, 2006
- 455
- 47
Mwanakijiji Yupo sawa, japo sina uhakika..Kwasababu -bado sina muda mwingi wa kusoma Post zake zote kwa uzuri..Ila nina amini akili yangu ! katika kutoa maamuzi ya nini niseme au nini nisiseme labda mpaka baadae..
Hapa nina mzungumzia Mwanachama mwenzetu wa JF -Mzee-Mwanakijiji
Nina kubaliana nae wakati mwingine na nina mchokoza- kwa Kumfanyia fujo...Laini bila yeye nisinge pata muda mzuri wa kufikiria Hili neno lake jipya-ana sema-'Ideological-battle' ??sorry !! Ideology-battle!!Kitu kama hicho..
Sasa hii battle ni kati ya wana JF au? Battle ya nani na nani?
hebu Nifananulieni vizuri!!
Hapa nina mzungumzia Mwanachama mwenzetu wa JF -Mzee-Mwanakijiji
Nina kubaliana nae wakati mwingine na nina mchokoza- kwa Kumfanyia fujo...Laini bila yeye nisinge pata muda mzuri wa kufikiria Hili neno lake jipya-ana sema-'Ideological-battle' ??sorry !! Ideology-battle!!Kitu kama hicho..
Sasa hii battle ni kati ya wana JF au? Battle ya nani na nani?
hebu Nifananulieni vizuri!!