Mzee Mwanakijiji, Tafadhali...

Chadema hawajawatendendea haki wanachama wao wa kitambo, wanachama waliozunguka huko kaskazini kukipigia debe chama na kutangaza sera zao, leo hii anakuja mtu toka team pinzani, let me put it this way ..."Anakuja Some one who is a REJECT " kutoka chama pinzani .. mtu ambaye miaka 7 iliyopita walikuwa wamemuweka katika list wa mafisadi wakubwa wa nchi hii wanampokea na kumpa form ya kugombea urais....

hivi mchakato wa kupata mgombea mbona haukuwekwa wazi...?
Lowassa mmemchagua kwa vigezo vipi ambavyo wanachama wa siku nyingi wa CDM hawana..?
 
Mkuu Character X umenigusa sana sana, Asante Sana!!

Sitaki niongeze wala kupunguza hapo neno lolote, nisije nikautia mchuzi ushuzi, ila niseme moja tu, kuwa, Mwanakijiji (na hawa kina Zitto) wasipoelewa hata ujumbe wa kimapinduzi kama huu basi hawataelewa tena.

You could not explain it better bro. bravo!!
 
ulitaka watendewe haki ili wewe m-lumumba ikusaidie vip? cdm tusipotendeana haki si ndo vizuri tusambaratike ili m-lumumba ufaidi? m-lumumba unatushauri CDM namna ya kujiimarisha ili tuishinde lumumba?!!!!!!

Lowassa ndo baba yetu, Legwanan wetu, mgombea wetu makini.

ccm mmeshajimix, hatukubali ku fall kwenye provocation yenu, sisi ni makini si dhaifu kama nyie, sisi ni mutoto ya mujini

Piiiiiiiiiiiiiiiiiiiipoooooooooooooooozzzzz........
 
That was then
sasa Slaa sio lazima asikilizwe
CHADEMA ni Mbowe na Mtei...ndio hasa waliofanikisha kumleta Lowassa
provocation za kitoto hizi, hizi kawafanyie washamba wenzio siyo sisi mutoto ya darisalamu

ni Lowassa tu kwa kwenda mbele!!
 
mtaje huyo corrupt na tuwekee na ushahidi wa u-corrupt wake otherwise shutup!!
 
MWANAKIjiji angalia na upepo tunakaribia kumng'oa nduli bwana.
 
Last edited by a moderator:
angalau tingatinga amedanganya bunge hilo zee lisoweza ata kujieleza amefanya mangapi maovu ...ChADoMO hamna lenu mumepewa garasa mnaona ndio umeokota kidude Lol
 
Gazeti lote hili uliloandika ni kumshawishi mtu tu akubaliane na wewe bila hoja ya maana eti kwa kuwa wewe huoni mbali na yeye mwanakijiji awe kama wewe! Unamshawishi mzee kuwa ni sawa kabisa kuingizwa ikulu na mwizi ili muradi tu azma ya kuingia huko itimie! Huu ni muono mfupi wa ushawishi
 
Tafiti zinaonyesha EL rating yake ni kubwa kuliko Wagombea wengine, Kumkataaa mtu kama huyo kwa sababu za Misimamo Mwanakijiji ni Sawasawa na kuungana na CCM waliomkata EL.Ni Busara kuungana na kuwapumzisha Magamba,mengine yatafuata,EL Hana uwezo wa kubadili itikadi za CDM au Ukawa.Big up Mbowe& Dr Slaa,you people are very smart.
 
Kwa baadhi yetu kuna tatizo la mtiririko wa taarifa (hasa muhimu) haukuwa sawa kwa upande wa CHADEMA na hivyo kupelekea maswali mengi ambayo nayo yalizaa maswali kwa vile hoja hazikupingwa kwa hoja bali nguvu na hisia.

Nimepata/nimesoma taarifa mbili tatu hivyo sasa naweza kuelewa option ya CHADEMA kuhusu Lowassa.
 
Kiherehere nadhani hapo tunatofauitiana. Hata tuliopo CCM tunahitaji mageuzi
 
Last edited by a moderator:

Mkuu umenena vema, ndio maana watu wanasema siasa inataka watu wanyumbufu na wenye roho ngumu. siasa si uanaharakati.

unaweza kuteleza kidogo tu kwenye siasa ndio ukapotea jumla kwani wengi wetu Watanzania tunajielewa wenyewe.

Nasisitiza tena bila umoja hakuna mafanikio. tunapaswa kukaa chini na kutafakari kwa kina kabla ya kuweka bandiko lolote, kwani watu wazima wamefanya vikao mara kadhaa mpaka wakafikia makubaliano je tuwaone hawana akili? ama aidha badala ya kuwapongeza tuone hakuna cha maana walichotenda? La hasha binafsi maazimio yaliyopitishwa baada ya vikao niliyathamini na kuyapa umuhimu unaostahili. tusipokubali maoni ya wengine na kuona yetu ndio sahihi huo ni ubinafsi na ubinafsi hauna tija yoyote katika mageuzi popote duniani. ikiwa alifanya hivyo kwa kuchokoza hisia za wanabodi (na ndicho nikionacho) ni vema la si hivyo sina jingine la kusema zaidi kwamba ni agenda nyingine ya kutokubali kuwa tu wamoja katika safari.
 
mwanakijiji hawezi waombea chadema mema...ni snitch

mkuu je una ushahidi?
mada zingine mtu huanzisha ili kupata tathmini ya tukio husika. kupima hisia za watu. kabla ya kurukia maamuzi tunapaswa kutambua lengo la mhusika. ikiwa itathibitika ni kweli tunamhukumu kwa kujua si mwenzetu.

Kwa sasa tunamhitaji yeyote toka popote ili kufikia lengo husika.
 
Very well said.
Kutokana na postings za MM, ni hakika kwamba yeye ni analyst mzuri wa mambo,
na anaweza kuelezea jambo lolote kwa ufasaha na uelewa mzuri sana na likaeleweka.
Kwahiyo anafaa kuwa mwalimu (academician). Tatizo la kumfanya mwalimu kuwa
kiongozi ni kwamba anaweza kupotosha wale wanaomfuata au kumtegemea kwa mawazo
iwapo msimamo au mtazamo wake utakuwa kinyume na matarajio ya wale wanaoongozwa.
Kwa maneno mengine, MM hawezi kuwa kiongozi wa kutoa chachu ya safari ya matumaini.
Viva Mbowe, pragmatic leader and non-academician
 

Umeongea point sana
 

kwan inahtajika elimu kiasi gani kuelewa kwmba hii ni fursa ya pekee kuiondoa ccm na mifumo yke yte na haitakaa itokee tna!! ungeweza kumkataa Lowasa km huna malengo ya kuondoa utawala dhalimu wa ccm!! mapambano hya hyahtaji watu waoga! wengine ni wasomi msioweza kutafsiri wakati na mazingira yaliyopo km dira ya kule unakotaka kufika!!
 


Asante nimekuelewa vizuri. Hataivo nadhani Tanzania inahitaji engine mpya., kuondoka kwa CCM kutatoa nafasi ya kuipa changamoto UKAWA kufanya vizuri kuliko CCM wakati huo huo CCM ikiikosoa UKAWA pale watakapo ona mambo yakienda vibaya. that competition is only healthy i believe, and that is besically why i insist tusiogope CCM kuondoka madarakani, and if it takes CCM kusambaratika yenyewe ilikukiwezesha kuanguka then so be it!

Comrade,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…