Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,846
Alokwambia kimechoka nani?au wewe ndo umechokaChama kimechoka kwa kuongozwa na mtu mmoja, ukihoji tu, wasiojulikana watakujibu.
Alokwambia kimechoka nani?au wewe ndo umechokaChama kimechoka kwa kuongozwa na mtu mmoja, ukihoji tu, wasiojulikana watakujibu.
Halafu ukakimbilia kwenda kula ubwabwa Chama cha Mambuzi, Kalagabaho!Nakumbuka wakati nachukua kadi ya Chadema 1992 nikiwa na Makamanda wenzangu mzee Mtei alisema Chadema ni chama ambacho hakitachoka...
Hahaha.........sema nilirejea!Halaf ukakimbilia kwenda kula ubwabwa Chama cha Mambuzi, Kalagabaho!
Hiyo ni mbwiga hajui kinachoendeleaAlokwambia kimechoka nani?au wewe ndo umechoka
Na waliojaribu kuiua (kama Jiwe) wamekufa waoNi kweli..Chadema haitochoka. Waliojaribu kuichosha, walijikuta na wamejikuta wamechoka wenyewe
Hakika mkuuKabisa mimi nakumbuka maongezi yangu na Mzee Wangu Bob Makani mahala fulani magomeni mikumi “ unaona leo chama kinapingwa hivi hadharani basi kuna siku watakiunga mkono hadharani pia “ hiyo ni mwaka 2001 akiwa bado mwenyekiti wa chadema taifa, watoto wadogo walikua bado wananyonya.