Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
Mkuu sasa unatafuta kesi,hawa jamaa huwa wanakataa kutumia hii kitu na wewe umewawekea na evidensi?
Haya bwana wakienda kujiua na hasira zao sijui utamjibu nini mheshimiwa hakimu?
lakini mbona nasikia kuwa ile mishikaki mitamu pale buguruni ni ya haka ka mnyama?!