Mzee Mangula ameongea kwa Code, wana ishara tumekuelewa

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
11,185
Reaction score
24,573
Leo Mangula kaongea kwa Code nzito sana watu tunaojua saikolojia tumeelewa

Ujumbe wa Mangula ulikua mubashara sana na wenye kumuelewa chamani mmeelewa

Leo nimeprove yangu ya moyoni


Tunaolewa tumemuelewa Mangula na nimeprove yale ya nyuma huko CCM

Kiukweli maneno ya Mangula yamenigusa yamaanisha ujumbe mzito sana kwa taifa

Mpongezeni Mangula kwa kuwa na moyo safi na moyo wa busara na uvumilivu amejitahidi sana

Ameongea kwa code na aidha tafsida ubarikiwe Mangula una moyo safi na bado ukahudhuria msiba huu mzito ubarikiwe

Maneno ya Mangula pia mengine yanatia moyo kwamba ilani itatekelezwa vizuri sana zaidi nimependa kaongea kwa code
 
Katika viongozi wa CCM, Mangula ana elimu bora sana! Akiwa katibu mkuu wa chama hatukuwahi kusikia vijembe kama vile vilivyoletwa na Makamba. Walipomuondoa, chama kikawa ni ngoma ya mdundiko na vijembe vya mitaani; tangu m/kiti, katibu na wafuasi chini yao, ukawa ni usanii tu!
 
We kichaa hujui hayati ndo alimpa Mangula ulinzi kutoka TISS tangu akiwa hospitali? Pumbavu sana
Madam President alimsikiliza umakini mkubwa,ukumbi ulitulia wakati mzee wa maadili akishusha mistari. Alimpigania Membe et al kuwa wapewe nafasi ya kusikilizwa,hoja zijibiwe kwa hoja,katiba ifuatwe... Akaishia hospitalini
 
unadanganya watu mzee tatzo watanzania tuna uwezo mkubwa sana wa kuviamini vitu na kuvichukia pasipo hata kuviona wala kuvishuhudia in short umbea tunaupa kipaumbele na kuuamini....au tukuulize wewe ulimskia nani
 
Mangula chamani anaitwa Doctor maadili 'mzee wa mafaili'

Wanamtandao walimpumzisha ila baada ya mambo kuwashinda ndo wakamrudisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…