Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,914
- 93,669
Hazeeki sehemu gani?
Na hatuachi kumsifia yule mzee ng'o!
Na boss mpya bosslady tunamkubali kama mtangulizi wake maana chuma hunoa chuma
Tunamtambua na tutandelea kumheshimu kazi kwenu nyio mnaoumia akisifiwa sababu mtakufa kwa kihoro
Hatuhitaji approval yenu kusema John Pombe Joseph Magufuli ni shujaa wa karne
Poleni kwa maumivu
Shujaa kinjekitileHivi kumbe Mwanadamu ambaye ni.......
1. Sadist
2. Corrupt
3. Homicide
4. Hypocrite
5. Nepotist
6. Saboteur
7. Liar
Kwa Wapumbavu huitwa ni Shujaa Wao?