Watanzania wenye upeo mkubwa na walio wengi wamepokea kwa furaha kubwa kwa Mzee wetu Mh.KINGUNGE kutufafanulia jinsi UVUNJWAJI Wa KATIBA ya CCM ulivyofanywa Na VIONGOZI WA JUU WA CCM kwa MAKUSUDI ili kuwanyima HAKI wanachama wengine na kuweka MGOMBEA Wa KULINDA MASLAHI YAO.
Pia tunampongeza Mh.KINGUNGE kwa kutuelimisha kuwa Kwa kuwa Katiba imevunjwa Hata Mgombea aliyepatikana ni BATILI ndani ya CCM kwani amepatikana kwa Katiba iliyovyunjwa.Watanzania CCM imetawala kwa miaka zaidi ya 50,Maisha yetu ni duni sana CCM imekuwa inatudanganya kila chaguzi kuwa Tutaleta maji umeme,ajira lakini hakuna utekelezaji
TUIAMBIE SASA BASI TUFANYE MABADILIKO
Pia tunampongeza Mh.KINGUNGE kwa kutuelimisha kuwa Kwa kuwa Katiba imevunjwa Hata Mgombea aliyepatikana ni BATILI ndani ya CCM kwani amepatikana kwa Katiba iliyovyunjwa.Watanzania CCM imetawala kwa miaka zaidi ya 50,Maisha yetu ni duni sana CCM imekuwa inatudanganya kila chaguzi kuwa Tutaleta maji umeme,ajira lakini hakuna utekelezaji
TUIAMBIE SASA BASI TUFANYE MABADILIKO