Mzee Jaji Warioba ndani ya Dk 45 ITV

Mzee Jaji Warioba ndani ya Dk 45 ITV

Gefu

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2010
Posts
6,929
Reaction score
2,567
Salaaammzz,

kama kawaida Mzee wetu Mh. Jaji Warioba leo saa tatu uusiku atakuwa ndani ya nyumba ya ITV akiendelea kukandamiza dozi mpaka mgonjwa apone. Atakuwa akituletea ufafanuzi wa hoja potofu mbalimbali zilizozushwa na wachumia tumbo kwa maslahi yao binafsi huku wakisingizia uzalendo na jeshi.

Akiwa na takwimu na hoja zenye mashiko atakuwa na fursa ya kuwaelimisha wananchi wooote na wapenda amani na maendeleo umuhimu na maantiki ya rasimu ya pili.

Stay tuned kwa live updates na mtaarifu mwana ukombozi mwingine hasa Watanganyika wenzetu amabao walipumbazwa na wapotoshaji.
 
wana jamvi taarifa ni kuwa mzalendo wetu mzee warioba leo atakuwepo itv dk 45 kuendelea na ufafanuzi wa hoja za rasimu ya pili ya katiba ili kuepuka upotoshwaji wa maksudi unao fanywa na wanao tetea serikali 2 bila hoja
 
Leo mzee wa busara lazima atawamwagia petroli kisha awawache CCM wahangaike na ulimwengu
 
Warioba ni mzee ambaye anasitahil kuigwa na wazee washenzi nchin kama wasira maana mtazamo wake ni wa kitaaramu
 
CCM hawajafanikiwa kuzima hicho kipindi kwa mara ya pili.!
 
Niko njoani kumcheki mzee wetu, shughuli zangu zimesimama baada ya taarifa hii.
 
MaCCM wote duniani matumbo joto :A S-frusty:
 
Jamani nisaidieni, hicho kipindi ni saa ngapi?
 
Ni mwana Ccm hai!!! Na siyo tu mwana ccm bali ni kati ya mizizi ya ccm, ila yu tofauti yake na nyie ni kuwa mzee warioba kaamua kuuvua ukibaraka na kuamua kusimama kwenye ukweli.

Wasije kumuua tu!!!
 
taatu...! Dakika tatu,,,taatu dakika tatu..tatata taatu dakika tatu!
 
Mwenyenzi MUNGU amjalie huyu mzee maisha marefu!!
 
mwenzenu sijalipia king'amuz mtanijulisha anaongea nn nlipenda sana kujua ataongea nini mzee wetu
 
Back
Top Bottom