Madumbikaya
JF-Expert Member
- Jun 6, 2018
- 734
- 2,271
Akiwa kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV kinachorushwa live leo tarehe 23 mwezi wa 07 mwaka 2025 ,Mzee butiku amesema
Mosi,Utaratibu uliotumika kupata mgombea wa urais wa chama mwaka 2025 ulikosewa na haupo kikatiba ndani ya ccm,Alishangaa wajumbe kulazimisha hoja halafu baadae ndio wakaanza kubariki maamuzi kwa kufuata mtiririko unavyotaka
Pili,Mzee Butiku amesisitiza Rais Samia yeye alionekana kusita kupitishwa lakini kuna Mzee mzoefu alisema ngoja amsaidie kuongea hapa hajamtaja ni Mzee gani aliyemsaidia Rais kutetea hoja ya kupitishwa na Mzee huyo ndio alionekana kubariki taratibu kinyume cha taratibu za chama
Tatu,Mzee Butiku anasema na alishangaa kuwa kuna wazee wazoefu ndani ya chama na ambao walikaa nyuma ya mwenyekiti lakini hawakumuambia utaratibu ukoje ili kutoa demokrasia kwa wagombea wengine
Nne ,Mzee Butiku amesisitiza tatizo la kukiuka taratibu lililotokea ndani ya chama cha ccm linarekebishika kwani Taifa letu ni changa na tunajifunza kwa makosa.
Mosi,Utaratibu uliotumika kupata mgombea wa urais wa chama mwaka 2025 ulikosewa na haupo kikatiba ndani ya ccm,Alishangaa wajumbe kulazimisha hoja halafu baadae ndio wakaanza kubariki maamuzi kwa kufuata mtiririko unavyotaka
Pili,Mzee Butiku amesisitiza Rais Samia yeye alionekana kusita kupitishwa lakini kuna Mzee mzoefu alisema ngoja amsaidie kuongea hapa hajamtaja ni Mzee gani aliyemsaidia Rais kutetea hoja ya kupitishwa na Mzee huyo ndio alionekana kubariki taratibu kinyume cha taratibu za chama
Tatu,Mzee Butiku anasema na alishangaa kuwa kuna wazee wazoefu ndani ya chama na ambao walikaa nyuma ya mwenyekiti lakini hawakumuambia utaratibu ukoje ili kutoa demokrasia kwa wagombea wengine
Nne ,Mzee Butiku amesisitiza tatizo la kukiuka taratibu lililotokea ndani ya chama cha ccm linarekebishika kwani Taifa letu ni changa na tunajifunza kwa makosa.