GE2025 Mzee Butiku amjibu Kapteni Tesha: Yeye sio askari na kama ni askari atakuwa na jeshi lake jingine

GE2025 Mzee Butiku amjibu Kapteni Tesha: Yeye sio askari na kama ni askari atakuwa na jeshi lake jingine

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

McLaren

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2025
Posts
889
Reaction score
2,863
Wakuu,

Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere (MNF), Joseph Butiku, amewataka Watanzania kupuuza taarifa zilizotolewa jana Oktoba 4, na mtu aliyejitambulisha kama Kapteni Tesha wa Jeshi la Wananchi (JWTZ), aliyetoa wito wa jeshi kuchukua hatua dhidi ya Serikali.

"Nilimuona ana ndevu. Pili amevaa nguo ya Jeshi mpaka shingoni na tatu anasemea Tanga. Niseme mimi nimepita Jeshini, hatuna uniform hiyo. Kwa hiyo sio Askari na kama ni askari ana Jeshi lake jingine na sipendi kuamini ndani ya Jeshi letu kuna watu wa aina hiyo"




 
Wakuu,

Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere (MNF), Joseph Butiku, amewataka Watanzania kupuuza taarifa zilizotolewa jana Oktoba 4, na mtu aliyejitambulisha kama Kapteni Tesha wa Jeshi la Wananchi (JWTZ), aliyetoa wito wa jeshi kuchukua hatua dhidi ya Serikali.



 
Wakuu,

Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere (MNF), Joseph Butiku, amewataka Watanzania kupuuza taarifa zilizotolewa jana Oktoba 4, na mtu aliyejitambulisha kama Kapteni Tesha wa Jeshi la Wananchi (JWTZ), aliyetoa wito wa jeshi kuchukua hatua dhidi ya Serikali.

"Nilimuona ana ndevu. Pili amevaa nguo ya Jeshi mpaka shingoni na tatu anasemea Tanga. Niseme mimi nimepita Jeshini, hatuna uniform hiyo. Kwa hiyo sio Askari na kama ni askari ana Jeshi lake jingine na sipendi kuamini ndani ya Jeshi letu kuna watu wa aina hiyo"



Butiku kageuka msemaji wa Jeshi
 
Nimekuwa nikisema mara nyingi kwamba, japokuwa wapo watu wema waliokuwa na nia njema ya kuliona taifa letu likisonga mbele kimaendeleo na kupinga ufisadi na wizi unaoendelea, ukweli ni kwamba sasa CCM ipo katika hatua ambayo inaweza kuanguka muda wowote kuanzia sasa, na dalili zote zinaonyesha kuwa ikianguka safari hii, itakuwa ni mwisho wake kabisa. Hali hii imeanza kuwatia hofu watu wengi wasioweza kufikiria Tanzania bila CCM. Hata hivyo, nyakati hubadilika, na zinapobadilika, hazimsubiri yeyote. Time will tell.
 
Naona wamelipwa na akina Balile na wamefunga safari hadi kwa mzee Butiku kufanya press kufanya Cpt Tesha apuuzwe.

Kituko zaidi ni kuwa TCRA waliifungia JF kwa kukosa wanachoita mizania ya habari sasa najiuliza hao mwananchi kwanini hawajapost clip za Cpt Tesha akiwa anafanya press yake ila wanapost clip za kukanusha sio mwanajeshi hapo tuwaelewe vipi?

Poleni sana mmechelewa.
 
Mzee anasahau, kuwa kauli zake yeye na mzee mwenziwe Warioba za kuibananga Serikali na Mwenyekiti wao wa Chama ndizo zimezalisha akina Polepole, So called Capt. Tesha na wanaharakati wa aina hiyo? Na bahati mbaya wasivyo na nidhamu vijana hawa wanawatajabkwa jina mikakati waliyofundishwa nao.
 
Mzee anasahau, kuwa kauli zake yeye na mzee mwenziwe Warioba za kuibananga Serikali na Mwenyekiti wao wa Chama ndizo zimezalisha akina Polepole, So called Capt. Tesha na wanaharakati wa aina hiyo? Na bahati mbaya wasivyo na nidhamu vijana hawa wanawatajabkwa jina mikakati waliyofundishwa nao.
 
Joseph Butiku, amewataka Watanzania kupuuza taarifa zilizotolewa jana Oktoba 4, na mtu aliyejitambulisha kama Kapteni Tesha wa Jeshi la Wananchi (JWTZ), aliyetoa wito wa jeshi kuchukua hatua dhidi ya Serikali.

Huyu askari mstaafu wa jeshi la akiba na mnufaika wa mfumo tangu enzi za Nyerere hadi Samia Hassan mnategemea ataunga mkono Mapinduzi na uasi jeshini ?


TOKA MAKTABA :
23 Julai 2025

DAKIKA 45 ITV TANZANIA NA MZEE JOSEPH BUTIKU, JULAI 23, 2025

View: https://m.youtube.com/watch?v=CTwcso_0pVg
Major (Mstaafu) Joseph Butiku aliwahi kuwa Katibu Binafsi wa Mwalimu Julius Nyerere kuanzia Joseph Butiku akiwa na umri wa miaka 26 tu. Aliendelea kufanya kazi na mwalimu Julius Nyerere kwa miaka mingine 21 (1964-1985).

Major. Joseph Butiku kwa sasa ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Julius Nyerere Foundation, ambapo pia aliwahi kuwa Mkurugenzi Mtendaji.
View attachment 3416361
Major Butiku mbali ya kuwa msaidizi wa rais Julius Nyerere pia aliaminiwa sana kama daraja au kiungo cha wanaharakati wa ukombozi wa nchi mbalimbali na mwalimu Nyerere. Wanaharakati haoch waliodai mabadiliko kutoka Afrika ya Kusini kupinga ubaguzi , Uganda kupiga utawala wa Idi Amin Dada, Visiwa vya Comoro, Seychelles n.k

JOSEPH W. BUTIKU
EXECUTIVE DIRECTOR AND TRUSTEE OF THE MWALIMU NYERERE FOUNDATION

JOSEPH BUTIKUwas President Nyerere’s Personal Research
Assistant, as well asChief of Staff and Personal Envoy prior to his current role.

He also attended Monduli
Military Academy, graduating as Lieutenant, and subsequently
attaining the rank of major. He was then Principal Private
Secretary and Chief of Staff under President Ali Hassan Mwinyi, Regional Party Secretary of the CCM in Mara Region,
later becoming Regional
Commissioner.
Source : juliusnyerere.org
 
Back
Top Bottom