Mzee baba, pakacha limeanza kuvuja ujue...

Mimi nasubiri mtoto azaliwe ili nifananishe sura.

Cheupe dawa.......... Tehe he... heeee
Unasubiri mkuu!!..wakati mtt ana vimiezi ashatinga duniani..king kong kiguu na njia Wazo kwenda kulea!..aaah umechelewa sana!..ila tunasubiri tu picha tuone ile trademark ya King kong..nadhani sote tunaijua!
 
Eti chama la wana teh
 
Mwisho wa siku wote tutabaki watanzania.... na nia tuliyonayo ni kuivusha nchi isonge mbele kwa mustakabali wa sasa na vizazi vijavyo.....
 
Asilimia kubwa ya wasukuma hawana ujanja kwa akina "Cheupe Dawa" . Naota kuna babu Seya mwingine atakula mvua. Labda tu kama mwenye cheupe dawa awe mwoga,,ila akianza kufuatilia tu,,mtamsikia.
That was comment of the day...
 
Mwisho wa siku wote tutabaki watanzania.... na nia tuliyonayo ni kuivusha nchi isonge mbele kwa mustakabali wa sasa na vizazi vijavyo.....
[emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144]
 
Hahahhahahah unahatari sana kama mama huyu:
Huyu ni msanii..nasikia ana donge zito kwa cheupe dawa..nasikia kabla... king kong alijichomeka kwake!..kabla ya kubadili gea angani baada ya kukiona kitu kina n'gaa kama madini ya vito!Akikutanaga na cheupe hubaki kupiga misonyo ya nguvu tu!..hana wa kumlaumu..jamii ya ma king kong..kwa kupenda ngozi nyeupe ni nomaa!
 

Waache wamalizane wenyewe
 
Unasubiri mkuu!!..wakati mtt ana vimiezi ashatinga duniani..king kong kiguu na njia Wazo kwenda kulea!..aaah umechelewa sana!..ila tunasubiri tu picha tuone ile trademark ya King kong..nadhani sote tunaijua!
"Trademark ya King Kong"
 
Tobaaa😱😱😱😱😱😱
 
. wamegundua mtindo wakishaachia bomu likishasomwa na wengi wanarudi kukanusha
 
Umeficha ID yako lakini?
 
Gari liko kasi sana kiasi kwamba ukiongea kwa mbali kama hivi hatusikii huku mbele
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…