Makuku Rey
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 3,644
- 4,186
Wamemuibua na kumchanganya na watu ili afe!ukijichanganya sana na watu unakufa mapema!
huyo ni mzee mwenye umri mkubwa kwa taarifa zilizopo........duniani alikuwa akiishi pembezoni na mji kwa kujitenga ndo watu wakamuibua india
