Bin Chuma75
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 990
- 1,040
Hakika kila mtu tumbo joto, watu wanaogopa hata picha zao tu!! ?? Huu ni uoga uliopitiliza.
Mzee katishwa na katishika vibaya mno... Hataki rabsha na analinda kitumbua cha mwanae... Mzee anajaribu kufutika uvundo kwa kusifia yasiyosadikikaNi baada ya kufanyiwa mahojiano na mwaandishi wa habari leo,mwenyekiti huyo we baraza la wazee wastaafu,ameonyesha kuchukizwa na waraka uliotolewa na makatibu wakuu wa zamani wa ccm ndugu Kinana na yudup makamba,amesema kwamba ni mambo ya kitoto hayo.
Kuhusu picha aliyo bandika January makamba kwenye mtandao wa Instagram, ikimuonesha makamba Jr na Mzee mwinyi wakicheka na kuwa kwenye furaha ya hali ya juu,imemchukiza sana mzee mwinyi kwani amedai si kipindi muafaka cha yeye kubandika hiyo picha waliyo piga kitambo sana.
Alihitimsha kwa kusema magufuli amefanya kazi kubwa mno kwa kipindi cha miaka mitatu,kazi ambayo hawajaweza kuifanya marais watatu waliyo pita kwa miaka thelasini.
Je matamko haya ya mzee mwinyi ni kujisafisha na kujiondoa kwenye panga linalo washukia wazee wa mwambao na familiya zao?.
Ungekuwa unaishi kando ya ziwa au bahari ukisikia "maji yaliyo korogeka " basi siku hiyo safari za majini hazifai badala yake ni kuzama kwa chomboKilichonifurahisha safari hii mzee kaja na msamiati mpya wa kuwa hakupenda picha hiyo kuwekwa katika " Maji yaliyokwisha korogeka", Mie wa huko Budalabujiga sijamwelewa kabisa.
Si muwachukue nyie chadema?Nilishasema tangu awali kuwa katika hili sakata Makamba na Kinana wako peke yao,kwani hili lichama limejaa wanafiki kama alivyoainisha Musiba.
Wakichukuliwa mtaanza kusema ni mafisadi... Lakini wakirudi CCM mtaanza kuwasafisha ....Si muwachukue nyie chadema?
Yupo sahihi mzeeNi baada ya kufanyiwa mahojiano na mwaandishi wa habari leo,mwenyekiti huyo we baraza la wazee wastaafu,ameonyesha kuchukizwa na waraka uliotolewa na makatibu wakuu wa zamani wa ccm ndugu Kinana na yudup makamba,amesema kwamba ni mambo ya kitoto hayo.
Kuhusu picha aliyo bandika January makamba kwenye mtandao wa Instagram, ikimuonesha makamba Jr na Mzee mwinyi wakicheka na kuwa kwenye furaha ya hali ya juu,imemchukiza sana mzee mwinyi kwani amedai si kipindi muafaka cha yeye kubandika hiyo picha waliyo piga kitambo sana.
Alihitimsha kwa kusema magufuli amefanya kazi kubwa mno kwa kipindi cha miaka mitatu,kazi ambayo hawajaweza kuifanya marais watatu waliyo pita kwa miaka thelasini.
Je matamko haya ya mzee mwinyi ni kujisafisha na kujiondoa kwenye panga linalo washukia wazee wa mwambao na familiya zao?.
Tena hao wazee ndio amewapa kubwa, January kamuongelea kwa busara sanaAnamuhofia huyo mwendawazimu kupita kiasi. Hajatia neno kuhusu akina kinana na makamba na barua yao bali picha yake! Ili ajioshe kwa jiwe.
Ni ukweli mtupu...Ni baada ya kufanyiwa mahojiano na mwaandishi wa habari leo,mwenyekiti huyo we baraza la wazee wastaafu,ameonyesha kuchukizwa na waraka uliotolewa na makatibu wakuu wa zamani wa ccm ndugu Kinana na yudup makamba,amesema kwamba ni mambo ya kitoto hayo.
Kuhusu picha aliyo bandika January makamba kwenye mtandao wa Instagram, ikimuonesha makamba Jr na Mzee mwinyi wakicheka na kuwa kwenye furaha ya hali ya juu,imemchukiza sana mzee mwinyi kwani amedai si kipindi muafaka cha yeye kubandika hiyo picha waliyo piga kitambo sana.
Alihitimsha kwa kusema magufuli amefanya kazi kubwa mno kwa kipindi cha miaka mitatu,kazi ambayo hawajaweza kuifanya marais watatu waliyo pita kwa miaka thelasini.
Je matamko haya ya mzee mwinyi ni kujisafisha na kujiondoa kwenye panga linalo washukia wazee wa mwambao na familiya zao?.
Nilishasema tangu awali kuwa katika hili sakata Makamba na Kinana wako peke yao,kwani hili lichama limejaa wanafiki kama alivyoainisha Musiba.
Wewe unachungulia mbali sana mkuu.Mzee Mwinyi aogopa hasira zisije enda kwa HM akakosa kule Chumbe
Hata ingekuwa wewe lazima ushtuke kwamba kwa Nini aipost wakati ule na si wakati mwingine kabla?Mzee Mwinyi ana miaka 94, kwahiyo ni wa kumvumilia tu vinginevyo, cjui ni kwa vipi akwazwe na ile picha!