Naangalia tuzo za music za kilimanjaro.Wasanii wengi wamewakumbuka mama,na wametoa tuzo zao kwa mama zao,hata kama amekufa pia.Ila mi ninachojua mafanikio ya mtoto na familia bora inategemea sana msimamo na uongozi thabiti wa baba.Baba ana mchango mkubwa sana kwa mtoto.Mama atamwonea huruma mtoto hata kama ametenda kosa la kumrekebisa.Leo sijasikia hata mwanamziki mmoja akimkumbuka baba yake.Kwa maana hiyo baba hata umfanyie maendeleo gani mwano bado hautatambulika.Wakuu mnalionaje hili?