Hujatufahamisha mkuu ilikuwaje kuwaje hadi ukagundua anakusaliti na pia alijibu nini baada ya kumkamata redhanded weka situation wazi zaidi ili upate ushauri na msaada sahihi.. ila pole sana mkuu najua maumivu ya kuchapiwaYes, tuna watoto wawili na wife. Huyo mzazi mwenzangu tumedumu kama 4 years, hivyo aliniaminisha yeye ni wangu. Ikitokea mtoto sio wangu sijui hali itakuwaje. Sidhani hata yeye atapenda iwe hivyo.