Mzazi kama huyu unamfanyaje?

Mzazi kama huyu unamfanyaje?

Ama kweli utadawazi umetuharibia watoto aiseeee....!!
Yaani mtoto usikanywe, huyooo.. mbio kwa social net kutusema sisi wazazi...[emoji25]
Mhhhh..... makubwa haya. Na usubiri nawe zam yako itafika na utakua mzazi aiseeee... tena usije ukashangaa kizazi chako kika kosa maadili hata kufikia hatua ya kukupa kichapo.
 
Wala uckacrike uwe unaomba but kwa matumiz ya mcngi inaoneka anakujali ucpo muomba hajickii anajua unapata shida but kila ukiomba anakupa bila kukuambia chochote utakua fala pia anakufunza kujitegemea
 
Ngoja nipite kimya Kimya katika thread za kipuuzi.
 
Kama ulikuwa unamuba nyingi... alafu ghafla ukakaa kimya... lazima awe na mashaka umatoa wapi...

Wewe hata akisema muombe tu...
 
Back
Top Bottom