Invarbrass
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 504
- 111
Mkazi wa kijiji cha Mohoro rufiji, Saidi Makwangu, amemuuliza Mwenyekiti wa kijiji hicho nini kifanyike kufuatia mwanae kufaulu mtihani wa darasa la saba wakati hajui kusoma wala kuandika.Mwenyekiti huyo alishindwa kumjibu mzazi huyo na akaomba kwanza apate ushauri kutoka kwa Kamati ya Maendeleo ya Kata. " nilimjibu kuwa ushauri sina nakwenda kwenye kikao cha WDC nikirudi nitakuwa na majibu"alisema Mwenyekiti huyo. Mkuu wa sekondary ya Mohoro alikochaguliwa kujiunga mtoto huyo, alisema mtoto huyo ajiunge na kidato cha kwanza mara moja maaana kuna mtihani wa kidato cha pili utamchuja kama atashindwa.
My take: majibu ya kufanya mtihani wa hesabu kwa njia ya matipo chois ndio hayo.
Source: Mwananchi Ya leo 30/January 2012
My take: majibu ya kufanya mtihani wa hesabu kwa njia ya matipo chois ndio hayo.
Source: Mwananchi Ya leo 30/January 2012