Mzayuni ni nani?


Msikilize myahudi , anaongea kitu gani


Your browser is not able to display this video.
 
Kujadili na mtu asie na elimu ni kazi kubwa kuliko kuhamisha mlima.
Unadai una ushahidi hata 100. Mimi nimeomba MMOJA TU. Unaniambia nikasome kitabu cha history kilichoandikwa na mjerumani mwenye asili ya Kizayuni.

Kijana unafahamu maana ya USHAHIDI?
I ask for something called "EVIDENCE " or "FACTS" without reasonable doubt. NOT HISTORY BOOK writen by another Zionist who was born in 1955.
Una tatizo la ubongo liitwalo "selective understanding "
Hapa siwezi kukusaidia kitu.
Kaa kimya waje wenye elimu kujibu hoja zangu.
 
Idadi ya watu wanaotaka kwenda Uarabuni lzm iwe ndogo sababu waarabu Hawahitaji watu wengi.
Nchi za kiarabu nyingi population yao ni ndogo sana.
USA kuna Watu 331.9 million
Nchi za waarabu zote ukizichanganya hawafiki hata asilimia 10% ya USA.
We ulitaka walingane kwenye idadi una akili timamu?

Kuhusu kubeba biblia Saudia we unadhani kitabu kinachosema mungu alipigwa na viumbe aliowaumba akalia mpk akafa kinafaa kusambazwa kwa watu wanaoabudu MUNGU MMOJA?

Kama vile ibada ya MUNGU MMOJA pamoja na miskiti ni marufuku VATICAN
Vile vile Ibada za sanamu la mzungu na kuvaa vimini kwenye nyumba za ibada ni marufuku Saudi Arabia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…