Mzalendo hujulikana kwa matendo.

Chepii

Senior Member
Mar 7, 2011
101
14
Ndugu zangu wana JF mhaligani?
Nime vutiwa nanyi nikajiunga nanyi,naombeni mnipokee.
 
twamshukuru muumba,karibu sana jamvini nawe twahitaji mchango wako
 
Jamani Katavi mimi huwa unanibariki sana unavokaribisha wageni, nimeenda nimerudi nimekukuta na moyo huohuo... so lovely!!!
Waooo!!! Asante sana, huwa sijisikii vizuri kuwa jf bila kupita katika jukwaa hili!
 
@all Jamani nawashukuruni sana kwa mapokezi yenu mazuri,yaani najisikia nipo Home,Nawapongezeni kwa michango yenu ktk kulijenga taifa letu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…