ACADEMIA TODAY
Senior Member
- Jun 7, 2013
- 179
- 86
Siwezi mkuu... Ndoa yangu bado changa.
Kwahiyo ndoa yako ikikomaa ndo utaenda kutafuta!!!!!
pole sana.
Siwezi mkuu... Ndoa yangu bado changa.
Najuta jamani... Lakini huwa tunataniana na hata yeye huwa ananitania sana basi tu jana ndo imekuwa hivyo... Nimempigia kapokea ananiambia nisimsumbue...
Mkuu amerudi... Ila kalewa hajiwezi.
Umemaliza mkuu.Hahahahaaa!
Tell him ze truth!
Then unamchokonoa-chokonoa mpaka akugonge/akugegede! Wakati mkifanya hivyo, Ule wazimu wako wote muoneshe hapo! Kama ilikua sku zote anakulalia, leo mlalie yeye! Kama unakanda unga vile!
Hahahahaaa!
Usimuache hivi hivi hadi asubuhi. Msubilie karibu na alfajiri mpe mgegedo wa nguvuMkuu amerudi... Ila kalewa hajiwezi.
Wenzangu mzaha umeniletea balaa ndani ya ndoa... Jana tulikuwa tupo kwenye utani mwepesi si nikajifanya nimezira mwenzangu! Nikamwambia baba watoto leo hamna kitu tunalala mzungu wa nne... Si nikajifanya kugeukia upande mwengine kweli tukawa tumelala mzungu wa nne lakini lengo langu lilikuwa kumtania tu nizuge kama dk. 5 nirudi kama kawaida... Mwenzangu si nikapitiwa na usingizi! Kutahamaki nimestuka saa kumi na mbili... Hapa ndani pametibuka tifu la hatari anasema nilitoka kwa bwana ndo mana nimemfanyia hivyo na kazira ameoga ameondoka... Nifanyeje wenzangu amiamini kuwa ulikuwa mzaha tu sikuwa nimedhamiria.
usihof subir arud umuoneshe mau2ndu...
Wenzangu mzaha umeniletea balaa ndani ya ndoa... Jana tulikuwa tupo kwenye utani mwepesi si nikajifanya nimezira mwenzangu! Nikamwambia baba watoto leo hamna kitu tunalala mzungu wa nne... Si nikajifanya kugeukia upande mwengine kweli tukawa tumelala mzungu wa nne lakini lengo langu lilikuwa kumtania tu nizuge kama dk. 5 nirudi kama kawaida... Mwenzangu si nikapitiwa na usingizi! Kutahamaki nimestuka saa kumi na mbili... Hapa ndani pametibuka tifu la hatari anasema nilitoka kwa bwana ndo mana nimemfanyia hivyo na kazira ameoga ameondoka... Nifanyeje wenzangu amiamini kuwa ulikuwa mzaha tu sikuwa nimedhamiria.
Siwezi mkuu... Ndoa yangu bado changa.