mzaha mzaha hutumbua usaha...

mzaha mzaha hutumbua usaha...

Vannele

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2013
Posts
287
Reaction score
90
Wenzangu mzaha umeniletea balaa ndani ya ndoa... Jana tulikuwa tupo kwenye utani mwepesi si nikajifanya nimezira mwenzangu! Nikamwambia baba watoto leo hamna kitu tunalala mzungu wa nne... Si nikajifanya kugeukia upande mwengine kweli tukawa tumelala mzungu wa nne lakini lengo langu lilikuwa kumtania tu nizuge kama dk. 5 nirudi kama kawaida... Mwenzangu si nikapitiwa na usingizi! Kutahamaki nimestuka saa kumi na mbili... Hapa ndani pametibuka tifu la hatari anasema nilitoka kwa bwana ndo mana nimemfanyia hivyo na kazira ameoga ameondoka... Nifanyeje wenzangu amiamini kuwa ulikuwa mzaha tu sikuwa nimedhamiria.
 
Nenda kwa huyo bwana kiukwelii:biggrin1:


maana hapo na yeye kaenda kutafuta msaidizi wako!
 
wenzangu mzaha umeniletea balaa ndani ya ndoa... Jana tulikuwa tupo kwenye utani mwepesi si nikajifanya nimezira mwenzangu! Nikamwambia baba watoto leo hamna kitu tunalala mzungu wa nne... Si nikajifanya kugeukia upande mwengine kweli tukawa tumelala mzungu wa nne lakini lengo langu lilikuwa kumtania tu nizuge kama dk. 5 nirudi kama kawaida... Mwenzangu si nikapitiwa na usingizi! Kutahamaki nimestuka saa kumi na mbili... Hapa ndani pametibuka tifu la hatari anasema nilitoka kwa bwana ndo mana nimemfanyia hivyo na kazira ameoga ameondoka... Nifanyeje wenzangu amiamini kuwa ulikuwa mzaha tu sikuwa nimedhamiria.

mfuate alikoenda ukiwa mtupu
 
'Mwanamke -------- huivunja ndoa yake kwa mikono yake' ongea naye kwa utulivu atakuelewa ila ujue mambo mengine hayafai kufanyia mzaha
 
Hahahahaaa!
Tell him ze truth!
Then unamchokonoa-chokonoa mpaka akugonge/akugegede! Wakati mkifanya hivyo, Ule wazimu wako wote muoneshe hapo! Kama ilikua sku zote anakulalia, leo mlalie yeye! Kama unakanda unga vile!
Hahahahaaa!
 
Wenzangu mzaha umeniletea balaa ndani ya ndoa... Jana tulikuwa tupo kwenye utani mwepesi si nikajifanya nimezira mwenzangu! Nikamwambia baba watoto leo hamna kitu tunalala mzungu wa nne... Si nikajifanya kugeukia upande mwengine kweli tukawa tumelala mzungu wa nne lakini lengo langu lilikuwa kumtania tu nizuge kama dk. 5 nirudi kama kawaida... Mwenzangu si nikapitiwa na usingizi! Kutahamaki nimestuka saa kumi na mbili... Hapa ndani pametibuka tifu la hatari anasema nilitoka kwa bwana ndo mana nimemfanyia hivyo na kazira ameoga ameondoka... Nifanyeje wenzangu amiamini kuwa ulikuwa mzaha tu sikuwa nimedhamiria.

Hayatuhusu. This is your private business.
 
Hahahahaaa!
Tell him ze truth!
Then unamchokonoa-chokonoa mpaka akugonge/akugegede! Wakati mkifanya hivyo, Ule wazimu wako wote muoneshe hapo! Kama ilikua sku zote anakulalia, leo mlalie yeye! Kama unakanda unga vile!
Hahahahaaa!

Ngoja nimsubiri arudi manake hata simu yangu hapokei.
 
Mkal now mweleze ukweli, mwombe msamaha. Text him siku nzima omba msamaha bila kuchoka and remind him wampenda yewe tu na hujawah kumsaliti. That it was a joke ila ulipitiwa bht mby. Pole mamii.
 
Mkal now mweleze ukweli, mwombe msamaha. Text him siku nzima omba msamaha bila kuchoka and remind him wampenda yeye tu na hujawah kumsaliti. That it was a joke ila ulipitiwa bht mby. Pole mamii.
 
Mkal now mweleze ukweli, mwombe msamaha. Text him siku nzima omba msamaha bila kuchoka and remind him wampenda yewe tu na hujawah kumsaliti. That it was a joke ila ulipitiwa bht mby. Pole mamii.

Sawa... Ntafanya hivyo... Ahsante
 
Umeleta huku eti,subiri nirudi(utani) usije ukakimbia nyumba.Halafu kumbe hujui mambo.Lakini umesoma ndoa yako changa siyo kosa lako.Hakuna kesi hapo sisi wanaume ni kama watoto,mchangamshe kwa maneno matamu na kuomba msamaha.Ataingia anga zako tu,na mwisho ana nyoosha mgongo kesi kwisha.
 
Back
Top Bottom