mzaha mzaha hutumbua usaha...

mzaha mzaha hutumbua usaha...

Mwenzio kapata sababu ya kwenda kwa nyumba ndogo, hapo andika maumivu tu...
 
...malizia kutumbua usaha usijekuta kuna LIJIPu lingine ulilonalo...unafanya utani kwenye 6x6 khaaaa na leo weekend kikirudi kimesinyaa kuliko hata bamia zilizopigwa na jua
 
Mkal now mweleze ukweli, mwombe msamaha. Text him siku nzima omba msamaha bila kuchoka and remind him wampenda yewe tu na hujawah kumsaliti. That it was a joke ila ulipitiwa bht mby. Pole mamii.
Hata kama si kweli???
 
af mwanaume gani anazira huyoooo!
aaargh!
mi ngekufata huko huko na mzungu wa nne wako!(nione utanuna mpk sa ngapi)

^^
Inategemea,,usikimbilie hitimisho..maana huwezi jua kwa nini mwanamke hakukanusha alipoambiwa ivyo.
Pili,
Chumbani kuna mengi wanandoa wanatakiwa watumie hata akili ya kawaida tu kujua wakati gani ni wa utani,wapi,n.k
Kusema tu "umezila"
tena kwenye ndoa,mwanaume akaamua kukuonyesha kuzira ni kuna maana gani.
Utani kama huu ufanywe raundi ya 3 au 4,,sio hata kabla ya mechi unaleta masihara,,wanaume tupo tofauti sawa na wanawake mlivo tofauti
^^
 
Haahaahaa! Kuna vidume vingine utani haviwezi kabisaaaa! Hapo anajifanya kukasirika ili mradi tu amepata upenyo wa kakigudulia kake huko nje! Loh! Ndo basi teena ushampa tiketi ! Hapo two things envolve either akirudishe kimelegea ama arudi kesho kikiwa erecting! Haahaahaahaahaa! Usirudie tena!

^^
Una ndoa Munkari ? Au ni just assumptions? Utamtoa roho mwenzio ohoo!
^^
 
Last edited by a moderator:
Nilijiua tu utakuja hapa JF kuomba ushauriiiii!! sasa kwa taarifa yako nimechukia haswa!!!:embarrassed1:
 
Nimemtext weee hatimaye kanizimia na simu alikuwa na yake tu... Namsubiria aje liwalo na liwe...
 
Nimemtext weee hatimaye kanizimia na simu alikuwa na yake tu... Namsubiria aje liwalo na liwe...

daa pole sana.kuna wanaume wengine wanapenda kubembelezwa kupta kiasi! akija usimsemeshe ila mengine mfanyie!
 
Utani mwingine ndani ya ndoa ni wa kucheza nao mbali. Zungumza naye kwa kumuomba samahani ya nguvu na kisha leo baadaye ufanye kweli ili kumridhisha na utani kama huu usiurudie tena. Mtafute kwenye mobile phone na inabidi uwe mpole tu. Pole sana.

Wenzangu mzaha umeniletea balaa ndani ya ndoa... Jana tulikuwa tupo kwenye utani mwepesi si nikajifanya nimezira mwenzangu! Nikamwambia baba watoto leo hamna kitu tunalala mzungu wa nne... Si nikajifanya kugeukia upande mwengine kweli tukawa tumelala mzungu wa nne lakini lengo langu lilikuwa kumtania tu nizuge kama dk. 5 nirudi kama kawaida... Mwenzangu si nikapitiwa na usingizi! Kutahamaki nimestuka saa kumi na mbili... Hapa ndani pametibuka tifu la hatari anasema nilitoka kwa bwana ndo mana nimemfanyia hivyo na kazira ameoga ameondoka... Nifanyeje wenzangu amiamini kuwa ulikuwa mzaha tu sikuwa nimedhamiria.
 
Mhhhhh!!!! :noidea::noidea::noidea:

Nilijiua tu utakuja hapa JF kuomba ushauriiiii!! sasa kwa taarifa yako nimechukia haswa!!!:embarrassed1:
 
Wenzangu mzaha umeniletea balaa ndani ya ndoa... Jana tulikuwa tupo kwenye utani mwepesi si nikajifanya nimezira mwenzangu! Nikamwambia baba watoto leo hamna kitu tunalala mzungu wa nne... Si nikajifanya kugeukia upande mwengine kweli tukawa tumelala mzungu wa nne lakini lengo langu lilikuwa kumtania tu nizuge kama dk. 5 nirudi kama kawaida... Mwenzangu si nikapitiwa na usingizi! Kutahamaki nimestuka saa kumi na mbili... Hapa ndani pametibuka tifu la hatari anasema nilitoka kwa bwana ndo mana nimemfanyia hivyo na kazira ameoga ameondoka... Nifanyeje wenzangu amiamini kuwa ulikuwa mzaha tu sikuwa nimedhamiria.

Ndio maana nasema maisha ya ndoa ni full artificial..

No need to panic.....Kama mnaishi kwa kuaminiana na bila kukwaruzana na kama ulikuwa unatania kweli haikuwa na haja ya ku-panic..Msamaha uliomwomba ulipoamka ulitosha sana..tena ilibidi kuomba msamaha huku unatabasamu la nguvu..Kama yeye atachukia nadhani muwahi kumpima ugonjwa wa akili... Lakini kama kuna vitu mnatofautiana na hamuaminiani usifanye tena utani kama huo...atajumlisha 2 + 2 = 4..

Ningekuwa mimi wewe..ningemwomba nimtoe out..nikamwombee msamaha huko huko...tukirudi tushafanya warm-up kwenye gari...
 
Nilijiua tu utakuja hapa JF kuomba ushauriiiii!! sasa kwa taarifa yako nimechukia haswa!!!:embarrassed1:

Kama ni wewe nisamehe mume wangu... Rudi nyumbani tuyamalize mpenzi...
 
Back
Top Bottom