Hahahahaaa nimeshamalizana naye, alisema kipindi sikuwepo ulikuwa unajisogeza sogeza
Hahaha BJ (hichi kifupisho nacho, kha!), labda hujamzoesha kumlegezea sauti. Kazoea akipokea simu unaanza na 'weeeh mwanaume!' Na sauti kaliii, ya juu simu anashkia mbali. Jaribu tena bwanaaa!
Unaruhusiwa ku google kama unahisi ni forwarded, hiyo ni Musimo Jr trademark bhana. Tabu yenu nyie mnahisi kitu kizuri tu ni kucopy na kupaste kha!
This is why "NIMEKUDONDOKEA"
Mkuu wangu "KB"
vp mbona unatuiga watu na machungu yetu?
Hahahahaa mkuu unapanda daladala la Tegeta wakati unaenda Mbagala?
naomba tufanye kesho kutwa...kesho watu wengi sana....watatubana....
Mbona nipo sana kule kijiweni..Nakutafuta ..
Mbona nipo sana kule kijiweni..