Mkuu Chige, kwenye hii post yako, inaonyesha ili edit, ile barua yako ukasahau kuirudisha, hivyo mtu akikutembelea hapa, anaweza asielewe hii post in a husu mimi, mimi nimekuja huku baada ya huyu jamaa kukuita eti wewe ndio mimi nimekuja na ID nyingine!.
Pasco