Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,610
at least maana tunashear pain from our loved onesSasa ukishaumiza wengine kwa kukosewa na wengine ndo itakjpa relief?C'm on girl....it doesnt work that way!
at least maana tunashear pain from our loved onesSasa ukishaumiza wengine kwa kukosewa na wengine ndo itakjpa relief?C'm on girl....it doesnt work that way!
mbona yesu alikufa msalabani kwa sababu ya uovu wetu izo zipo hata mbinguni wanatambua
mimi kama mfuasi wa yesu natakiwa niishi kama yesu na ndo maana neno linasema sio mimi ninaeishi ila kristo(yesu) ndani yangu
Nifanyie mpango nipate english cozi ya kilatini angalau...nisije nikazidiwa kete kwenye makoloni yangu mwenzioLugha ya mapenzo ni Kifaransa au moja ya lugha za Kilatini......lakini nitashukuru japo kupata ya Kiingereza. Hii ya Kiswahili haikubaliki hata kidogo
:lol:Kalegeza kamba ila kwa mbindeImagine....if she could only know hw much you have strained to come up with the lines......
Lakini si haba, si unamjua alivyo kichwa ngumu kukubali kitu? Ila hapo angalau kalegeza kamba
Nifanyie mpango nipate english cozi ya kilatini angalau...nisije nikazidiwa kete kwenye makoloni yangu mwenzio
Bee subiri kwanza nikwambie
Mwenzio nishawahi kutungiwa mistari.....mwanzo mwisho original for your one and only Gee. Lakini lilikuwa kwa mtindo wa "kufoka foka" lol
I can't lie, I felt like a princess .........(japo kama princess wa Bagamoyo) ....lol
Wacha banaaa....daaah! Princess wa Bagamoyo mchezo...hiyo ina maana hadi Msoga yote yako...lol!
Sasa hapo ndo utauona utamu wa 'verse' kwenye mapendo
Mashallah....huyo alikugusa hasa maana wewe na viwango vyako...mmmh!
Daah yaani kafananisha hicho kisasi na kujitoa kwa YesuKama ni hivyo basi wewe ndie ulietakiwa kujitolea kuumia kwaajili ya wengine na sio kuumiza wengine kwaajili yako.
Her Majesty Gaijin The Queen of Bagamoyo and the Msoga Empire....Hahahha @ Mpaka Msoga yako.........Bee umepinda wewe
Ila si unanijua nilivyombishi wa kukubali matokeo .......nilikuja na jibu kaa la kwa The Finest hapo. Ha ha ha
Her Majesty Gaijin The Queen of Bagamoyo and the Msoga Empire....
Ayaaaaaaaaa, Gee acha hizo bana!Hahahha @ Mpaka Msoga yako.........Bee umepinda wewe
Ila si unanijua nilivyombishi wa kukubali matokeo .......nilikuja na jibu kaa la kwa The Finest hapo. Ha ha ha
Tenaa! Sasa sijui anatake huyu...Her Majesty Gaijin The Queen of Bagamoyo and the Msoga Empire....
Ayaaaaaaaaa, Gee acha hizo bana!
So that was all you could utter? daaah wee chiboko, ila jamaa atagangamala atoke na mistari myengine hadi akufanye ujiskie Prencess wa Pwani...lol!
Gee you are very 'difficulty'....lolest!
Chezeiya Queen tena.....lolMistari tu hiyo ilinifikisha huko....na bado ilikuwa kwa Kiswahili, jee ingekuwa kwa lugha ya mapenzi?
Lakini hicho cheo unakionaje? Si kimenifit mwanzo mwisho au?
Mpaka watakuwa wanazisoma tu plate namba mie huyooo...binti niliishamshika mkono kalainika...:lol:Tenaa! Sasa sijui anatake huyu...
Endelea kutunga mistari huko, uwe una mrushia rushie kika mara...lol
Kama halainiki tutampaka 'girisi'
Mpaka watakuwa wanazisoma tu plate namba mie huyooo...binti niliishamshika mkono kalainika...:lol:
Heheheeeiyaaa...kumbe ulikuwa Manchesita sema basi tu ukaamua kujivunga kidogoDuh! Yaani Bee nilikuwa kwenye cloud nine, .....nikaona nikisema zaidi ataona "kashinda kirahisi" bora nimpe cold shoulder kidogo, aongeze bidii! Yaani pale kwa kweli kama kufungwa tayari ingekuwa sita kama za Manchester.....lolz
Na niliona Bagamoyo hapatoshi japo Msoga yangu.......aongezee bidii nisogee hadi Pwani yote na vitongoji vyake :A S embarassed:
:lol::lol::eyebrows:oaKwa hisani ya girisi ya Bee