Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,560
- 188,751
umezingua!!Kuna rafiki yangu aliniambia hakuna mtu asiejua kupenda .hata ujifanye kauzu vipi moyo una stop center yake utadondokea tu hata chizi.
Basi bwana Mimi baada ya kuachana na mtu fulani niliekuwa nampenda sana.baada ya kuona hakuna future nikaona nimute Mimi na kazi busy busy 24/7 kweli nilimsahau kidogo ila siku mbili nawashwa namcheki what'sup uzuri hakunipenda yule bwana so ni kama naforce na Hilo ndo lilinipa nguvu ya kuachana nayo .maana nikijicalculate naona value yangu Ni kubwa Sana bila yeye naishi tu mbona pia napendwa na weengi Mimi tu na moyo wangu mdanganyifu
Basi bwana nimeteseka na yule bwana namuacha siku mbili tatu namuomba turudiane .alivokauzu ananipokea Tena hivo yaani.najitoa najirudisha hivo hivo.kiukweli nilimpenda hata sio kwamba ana hela au Nini hicho Mimi sijui hata hajawai kunipa Wala sijawai kumuomba sina shida kiivo .labda ushauri tu.maana yuko fresh upstairs.nilimpenda Sana tu
Nilimpenda sana.ila nikaona tu niushinde moyo wangu niseme inatosha.ila niseme Ni kazi Sana kumuacha mtu unaempenda japo unajua yeye alishakuacha sijui mnanielewa.yaani unakuwa kwenye mahusiano na mtu hujui hata yanahusu Nini ila unaumia tu
Inaendelea
Nikaendelea na mahusiano hayo on /0ff on / off for years.kwa vile nilimpenda Kila kitu changu namuambia ila yeye sikumjua kiviile halafu since sikutaka kitu kwake zaidi ya yeye mwenyewe sikuona issue sana.nilikuwa nafeel to happy kumpenda .I like loving !!!
Siku moja bna nikaona nianze tu maisha yangu upyaa.
Si unaweza kuwa single tu kiukweli ,empty heart.big visions and dreams.???
Ile siku bna niliumwa siku tatu mtu unamuambia tuachane hata hakuulizi kwanini ,? Hata hakubembelezi nikikumbuka acheni tu it hurts jamani.nikafikiria kutafuta hata mchepuko ila kudanganya mtu kusema kweli siwezi niliumiaaaa nilikuwa na kg 80 nikafika 96
Itaendelea nalia kwanza
Itaendelea ngoja Kuna simu inaita
Kwa huu muandiko utafikiri sikio ndo lilikua linabofyabofya kioo bahati mbaya wakati anaongea.Ukimaliza kupokea hiyo simu uje kuweka aya kwenye bandiko lako, Kuna mtu Kama Extrovert hajui kusoma vizuri 😃
Experience ya kusimuliwa na Matured men?Nina experience Eli 🤣 naelewa niteteacho.
Nishakataa nyingi maana zingine huwa zinakuja kwa malengo. Kupindua meza au mtoto halafu apindue meza.Wanaume huwa hatukatai K ya bure bure, hata kama hatumpendi mhusika, akijileta inachakatwa tu!!
Kusimuliwa wapi? Kukutana nacho uso kwa macho...Experience ya kusimuliwa na Matured men?
Au?
Haaaawa hawa ?
Dada amka tu tukande maandazi mwaya.
Mnatoa wapi hizo hisia za kusimamisha kwa watu msiowapenda?Wanaume huwa hatukatai K ya bure bure, hata kama hatumpendi mhusika, akijileta inachakatwa tu!!
Umenichekesha bna nipo busy usiku tenaMiss Natafuta hebu amka uendeleze hii story au mmerudiana tena?
Mtu ameshindwa kunipenda Mimi atampenda mwanangu kweli.siwezi force mimba kwa mtu .haikuwa riziki yanguNishakataa nyingi maana zingine huwa zinakuja kwa malengo. Kupindua meza au mtoto halafu apindue meza.
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Mwanaume kufanya tendo hakuhusiani na hisiaMnatoa wapi hizo hisia za kusimamisha kwa watu msiowapenda?
Huo ujumbe haukuhusiana na wewe kabisa kuna post nilikuwa nachangia.Mtu ameshindwa kunipenda Mimi atampenda mwanangu kweli.siwezi force mimba kwa mtu .haikuwa riziki yangu
Kumbe.Mwanaume kufanya tendo hakuhusiani na hisia
Umenisusa ndio maana nimechafukwa!Vitu gani hizi unaandika?
Inategemea Vale.Inamaana na wewe hua hukatai? Teh
Kufanya ngoni kwa mwanaume hakuitaji hisia , ukiwa na ukame tu machine inasimama popote,Mnatoa wapi hizo hisia za kusimamisha kwa watu msiowapenda?