....Nikipewa divorce that means i sue them for millions of money....
Lini uliolewa?
Enhee, vipi July 4th, can't wait, mwaka huu nadhani hakutakuwa na michosho wala uzugaji, right?
pia uliwarundika watu kwenye ki gereji kama chumba....utauwa watu kwa safokesheni...Niliolewa siku nyingi sana na cuppy kwani hukuona picha jf?
This time kutakuwa na mambo motomoto mwaka jana mambo mbona yalikuwa fresh sema tuu mziki uliharibu ile bulding ilikuwa na umeme mkali sana compared na vyombo tulivyo rent...Ila expect a lot this time...ushindwe weye tuu!...
pia uliwarundika watu kwenye ki gereji kama chumba....utauwa watu kwa safokesheni...
kuna ushahidi walilalamika hata humu JF na pia kwa michuzi na wewe ukatoa press conference yako na kuomba radhi....Acha kuparamia kivuli...nani alikwambia tuliwaweka kwentye garage muulize mwanakijiji na mwenzake GQ an kisura wali wali have fun sana tuu...Huyu Uwiano yeye hakuja alikuwa na party kwenye state ya kwao huko kwanza ha hawa hasafiri kama ww vile mmekaa na kusoma michuzi mkaamini...shauri lenu mtakosa mwana ma maji ya moto this time kutakuwa na Vishtobe wa nguvu wa kufa mtu...
kuna ushahidi walilalamika hata humu JF na pia kwa michuzi na wewe ukatoa press conference yako na kuomba radhi....
hio inabidi na YNIM awepo......Alafu for the start tuu kwanza nawaletea Ally Kiba June 20th...karibuni chicago concert ya Alli kiba itakuwa House of Blues pale on wacker and State..down town kwenyewe.....
nae ale good timeAnd why is that?...
tehe tehe hunipati ng'o!!!!why?..............
tehe tehe hunipati ng'o!!!!
Niliolewa siku nyingi sana na cuppy kwani hukuona picha jf?
Sijaona picha bibie.
Karibu tena kututembelea. Holla @ me!
Huko ni kwangu lazima nije kumtembelea ...
......hahahahahah!.....
Hahahahahahaa, you are so funny! Just holla @ me any time au nicheck kwenye PM, aaaight
Huko ni kwangu lazima nije kumtembelea shosti wangu ambaye ni mshikaji wako.....LOL!...Habari ndiyo hiyo!.....kwani shosti wangu hajakwambia kuwa nimeolewa?na yule ana mambo mengi sana kichwani mwake looh!>...
Ila next time usivae basi ile kaunda suti yako ya jeans na koti lake ......hahahahahah!.....