My last confession CHADEMA imekosa road map

Umemtusi na mama y@ko ambaye ni diwani kupitia chama makini 'chadema'!
 
another joker! pilipili iko shamba inakuwashia nn?
 



i bet you gonna say i am a gay
 
Ningeshauri ungeanza kuufanyia kazi ushauri huu wewe binafsi..,hii posho ya buku 5 za kukesha JF sio dili kabisa na utazeeka ukitumikia watu wasio na fadhila. Jitambue kisha kamata fursa uchangamke, acha kukesha JF doing nonsese...!!!

Hhaahaahaha mtela please please mimi ndio nachangia Chadema! Mimi silipwi bali ndio nawalipa. Si keshi JF ili nilipwe mimi ni interest yangu kuikoa nchi yangu dhidi ya nyie majangili
 
Last edited by a moderator:

Nyie wewe na wenzako mmeachika tena kwa taraka tatu,nashangaa mnavyomzungumzia mume ambaye hawawataki ilihali yeye hana mpango na nyinyi anafanya yake tu.Kama mlikuwa mnampenda mume si mngetulia kuliko megawagawa nje weeee hadi mume wenu kagundua kawapa taraka,nawaasa mtulie kwa huyo mume wenu mpya mliyempata.
 
Mmmh! Watu wengine..,

Usirushe jiwe gizani huwezi kujua litampata nani. Naweza kuhisi ulio walenga kuwapa ujumbe lakni yamkini jiwe hilo likawa limewapata pia ambao hukutarajia/ tegemea, wengine ndugu zako.

Umewahi kujiuliza wale wanao ongeza ruzuku ili mkono wako upate kwenda kinywani wna elimu kiasi gani pale mjengoni? Wengine unajua wanaitwa maprof.

Hata hivyo uwezo / kiwango cha elimu kinaweza kiwe au kisiwe kigezo cha kuwa kiongozi bora. Wezako wakiwemo hao unao watetea ni maprof na madokta lakini usomi wao hauendani na deliveries / proactivity zao.

Na kumbuka pia Rasimun ya pili iliweka kigezo muhimu kupata nafasi mbali mbali ikiwemo ubunge. Umepata kujua kilicho jili kwenye BMK wnao saka mabilioni upate kwenda choo? Kigezo cha elimu ili upate madaraka kimepingwa? Unasemaje mpaka hapo au humjielewi?

Upande wa pili si shangai, mnachoaminisha watu sicho mnacho maananisha kutenda, mwatenda kinyume chake!

Kweheri!
 

Mkuu itapidi ugonge!! Mimi nimesoma ujerumani maprofessor wangu walikuwa hawataki tuwaite Dr. prof. Hawakutaka kabisa mmoja anasema niite tu Mr. Schiller etc. Hapa nyumnbani bila kuitwa Dr. blaablaa basi .............
 
Chadema ndiyo basi tena haina kitu tena imeshatoka kwenye reli.

Mtanyosha tu maelezo si muda mrefu! Chadema ingekuwa hipo Polisiccm wangekesha kwenye viwanja vya wazi kuzuia maandamano ya chadeama? Kuzuia maandamano haijawahi uzima hamu ya mabadiliko ila ni kuichelewesha tu lakini iko palepale!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…