King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,866
- 24,984
bado unamuita ni mume huyo? Mume gani kiazi hivyo? Anakutumia tu huyo shtuka
hivi viazi cherema bado vinakuwepo? Enzi zetu kuna kiazi hata ukaangeje kinakuwa kama kibichi. Kama ni kuchemsha sijui hata nielezeeje?